Povu litawatoka sana kwakukosa kujua, sidhani kama hii ni biashara hulia.yatupasa tujue ayo ma bank mengine yameajili watanzania wangapi wanalipa kodi kiasi gani leo hii zifilisike tutatosha Rita?
ukiwa una anza kuandika kitu kwa jamii kwanza kifanyie utafiti kisha wa elekeze ila kumshtumu mtu kwa jambo ambalo ulijui nisawa na kutumiwa na ukiwa umekamilika usikubali kuwa mtumwa juzi tu nikiwa kama mteja wa iyo benki unayo ishutumu uyo mkurugenzi wao amepewa Tuzo na vyombo vya habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.