Recent content by Emma Mpesha

  1. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naitwa Emmanuel Mpesha mwalimu Idara ya secondary kwa aliye tayari tubadilishane uje mbeya Rungwe Tukuyu mimi nije wilaya ya Mbozi au Momba Mbeya. Namba 0768117713
  2. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ohooo walimu mpooo sema tupo kama mfuko wa GEPF. SASA naongeza eneo mwalimu anayetokea wilaya kati ya momba au mbozi mbeya tubadilishane mimi ni mwalimu wa sekondari nipo Tukuyu wilaya ya Rungwe Mbya mkoa. Call 0768117713.
  3. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndugu mwalimu nipo tukuyu rungwe mbeya natafuta wakubadilishana awe anatoka wilaya mbozi mbeya idara ya sekondari namba yangu 0768117713
  4. E

    NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Hakuna jipya ni ushenzi mm nafanya yangu naona hii nchi mpaka atokee gaidi aiongeze mana viongozi wamejisahau ila kuna siku viti vitakuwa vya moto.
  5. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo rungwe tukuyu mbeya mwalimu idara ya secondary nataka mtu kubadilishana naye awe anatoka wilaya ya mbozi mbeya tuwasiliane kwa namba 0768117713
  6. E

    Sijachaguliwa kujiunga na chuo, inaniuma sana

    Unajua sasa hivi wahitimu ni sababu ya kukosa huenda wanaanza kuchukua current kwanza then ww wa older 4 years sijui mpaka nafasi zikibaki
  7. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi mwl idara ya sec nipo mbeya tukuyu natafuta mwl wa kubadilishana awe anatokea mbozi, mbeya tuwacliane 0768117713
  8. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kama kawaida natafuta mwl anayetoka wilaya ya mbozi mbeya anataka kuhamia wilaya ya rungwe mbeyq idara ya secondary naomba tuwasiliane k.k no. 0768117713
  9. E

    Naomba kufahamishwa namna ya kuandika barua ya kuhama halmashauri

    Jamani naombeni ushauri mimi niliibiwa cheti cha form4 pekee lakini vingine vipo kwani nimefika hadi chuo kikuu nimepata ajira ya ualimu tukuyu nilipofuatilia baraza watume statement of result naambiwa kuna mtu ametengeneza cheti feki kwa namba yangu ya mtihani mpaka leo nasumbuliwa huyo mtu...
  10. E

    Nimepotelewa na vyeti vyangu, Naweza kupata vingine?

    Ndugu hata statement of result hupewi wanachofanya wanatuma kazini kwako mm mwenyewe ni mhanga mpaka leo sijaenda kazin nasubiri watume matokeo ni bora uanze mchakato mapema na gharama ni km ifuatavyo sh 27000 ya gazeti plus 21600 ya kutuma kazin nje ya dar, pole
  11. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naendelea kusisitiza mwalimu anyetaka kuja mbeya wilaya ya rungwe tukuyu tubadilishane ikiwa unatokea wilaya ya mbozi mbeya mwl wa secondary. Call via 0768117713.
  12. E

    Msaada wa kisheria tafadhali

    Ndugu zangu mm napenda kujua endapo mama mzazi kafariki amebaki baba na ameanza kuuza mali ovyo zilizobaki huku kaowwa mwanamke mwingine. Je naweza kumshtaki?
  13. E

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Naitwa Emmanuel Mpesha kwa mwalimu anayependa kufundisha wilaya ya tukuyu mbeya anatokea wilaya ya mbozi tubadilishane. No 0768117713
  14. E

    Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Naitwa Emmanuel Mpesha kwa mwalimu anayependa kufundisha wilaya ya tukuyu mbeya anatokea wilaya ya mbozi tubadilishane.
Back
Top Bottom