Recent content by Emma El chapo

  1. Emma El chapo

    Castrol Ponella atoka jela

    Sometimes inabidi tupambane tu na hali zetu.. Hii dunia kuna roho mtakatifu na roho mtaka bifu... Marehemu ndo alimfuata castro gheto kwake akiwa na kisu bahati mbaya akafa yeye
  2. Emma El chapo

    Castrol Ponella atoka jela

    Castro ndo alitengeneza wimbo wa fid q. Com, mchizi mpaka leo angekuwa bonge la prodyuza
  3. Emma El chapo

    Castrol Ponella atoka jela

    Acha kuishi kwa kukariri wewe, watu kibao wanapeta kitaa
  4. Emma El chapo

    Castrol Ponella atoka jela

    Castro ndo produza aliyemtoa fid q kwenye ile ngoma ya fid q dotcom
  5. Emma El chapo

    Castrol Ponella atoka jela

    Ditopile hakukaa jela wewe, tofautisha kati ya kifo na usingizi
  6. Emma El chapo

    Ndani ya miezi 8 vita ya Serikali dhidi ya madawa ya kulevya yafanikiwa kwa kiasi kikubwa

    Kwa upande wa huku city center maeneo ya bandari na kituo cha kati unga unapatikana utasema ni pakistani, sasa nashindwa kujua kwann hayo maeneo mengine unazidi kupotea lakini huku kwenye kitovu cha serikali mambo bado yanaendelea Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Jamaa wamejikita sana online Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Hata mimi mwanzo walikuwa wananitumia lakini nashangaa kadri siku zilivyokuwa zinaenda kona kona zikaanza Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Ungejua kiasi ambacho taifa linaingiza kama kodi usingesema hayo maneno Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Emma El chapo

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    #fact Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Kweli ngoja nihamishe makazi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Nimehamia sportpesa kwa sasa.. Mpaka ofisi zao nazijua zilipo na jamaa ni international Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Hata hyo ipo ndani ya kazi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Siku hizi wanaelekea kuwa nyumba ya wajanja Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Emma El chapo

    M-Bet ni matapeli?

    Kuna siku moja walinirudishia hela yangu niliyobetia baada ya siku mbili wakidai kulikuwa na matatizo ya network, kuangalia matokeo timu nilizobetia zilikuwa zimeshinda Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom