Naomba kujuzwa maeneo gani naweza kupata Shamba kwa heka laki 3 au 4 maeneo ya Dar au nje kidogo ya Dar?
Mwenye kujua msaada wakuu.
Mawasiliano 0784791233.
Nadhani ni mawasiliani MC sio msabato isipokuwa Kwa hali ilivyo sasa anaweza piga kazi siku zote bila kujali jumapili lkn kama utaipigia tutaongea vizuri
Huyu binti yupo anaishi maeneo ya Kawe, sasa itategemeana na duka lako lipo maeneo gani ili kuangalia ishu ya nauli naomba niambie maeneo hiyo stationary ilipo
Duka lolote Ndg isipokuwa linalohusiana na mambo ya vileo hapana maana ni binti mlokole hata kama vibanda vya kutolea pesa na kuhusiana na mshahara itategemeana na kazi yenyewe au maelewano yenu @ Tanaluza
Husika kichwa hapo Nina Dada yangu umri miaka 20 anatafuta kazi yakuuza Duka au yoyote inayoeleweka ni mwaminifu na mdhamini nipo mwenyewe yupo maeneo ya Dar. Mawasiliano 0713791233.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.