Mimi nlianza Regency na nlikutana na specialist wa masikio,,nlipimwa usikivu kwa ile mashine ambayo unavaa headphones conclusion ikawa nivae hearing aids, nlinunuw ambapo hazikusolve tatizo nlipoenda tena wakasema ntafute za bei kubwa ambapo nlielekezwa pale mtaa wa mhimbili na pale walipima...
Vipi watu hawa bado wapo? Stg makame, luten kalinga,lut mazije, kina afande Kelvin,majembe, Hugo na luteni urasa..
Afu Major maresa vipi alitokaga hapo?
Natafuta nyimbo mbili alizoimba somida.
Wakwanza unaimbwa mwalimu alinambia nikazane shule,maisha magumu hapo baadae.
Na wapili unaimbwa..so mida,na nyumbani nitarudi tena sio mida..afu anapiga so mida lalalalala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.