Mwaka 2009 wakati naanza kazi kwenye mkoa mmoja wa ukanda wa Pwani nilibahatika kupanga kwenye nyumba moja iliyokuwa na mabinti 4 wa mwenye nyumba, wapangaji tulikuwa wawili tu japo vyumba vya kupangishwa vilikuwa vingi kidogo.
Sasa mwenye nyumba alikuwa na duka, siku moja nikaenda kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.