M.M.A.C.H.A.M.E
Mliambiwa kenge hasikii mpaka damu zimtoke masikioni.
Hivi wale mababu waliotoa tahadhari kuhusu wanawake wa Machame mnawaona walikua mataahira au wenye chuki na Hawa watu.
Umevuna ulichostahili.
Chuki binafsi.
Wapo ma singo maza wenye weledi. Ila hapo kwenye soda isiyokua na kizibo?
Kwani wote wanaoolewa Leo wanavizibo?
Kosa la singo maza Ni kwamba Kuna ushahidi kwamba kizibo hakipo.
Watoto shuleni hawana madawati mnahangaika na raia wema?
Haya, mkishawakamata mtawafanyaje? Na wateja wao mnewapa njia gani ya kupunguza nyege?
Kumbuka nyege Ni ugonjwa unao hitaji tiba fasta.
Ama ndio mnataka wanetuwabakwe?
Huyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
Huyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
Najiuliza sipati jibu.
Hivi wateja wa wasenge wa kulipwa ni Nani?
Je nukweli wasenge niwatamu kuliko wanawake?
Au watu wanawatumia kwa maelekezo ya waganga?
Ma cashier, walinzi, sales persons, accountants 450.
Tutumie akili kidogo.
Kiwanda kinacho ajiri watu 400 ukiangalia vizuri, Sasa hii outlet watu 450.
Wait and see msilete uchawa kabla hakujakuchwa.
Lucas Mwashambwa anaangalia vocha ilikotokea, Hana maadili Wala itikadi. Hata TLP wakimtumia vocha ya buku kumi atawatosa waliompa buku Saba.
Na sidhani Kama Kuna mtu anamchukulia serious huyu chawa uchwara. Ukiona mwanaume anamsifia mwanamme mwenzake kwa kazi nzuri ujue hapo Kuna Jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.