Ndugu elewa hesabu za EL sio za kisiasa, ni hesabu anazopiga kuhakikisha hakamatwi, na hiyo ni kanuni ya mwizi yeyote duniani katika medani ya siasa..as they say, the rule number one, don't get caught, kwa hiyo yeye unamuona hesabu zake ni kali kwa kuwa tu hajakamatwa, na hii inatokana mfumo...
Hivi katika kipindi crucial kama hiki, chaos everywhere, mwanamme smart unawezaje kujadili mambo binafsi ya ndoa za watu, huku watu wenu wanatusumbua, hivi kweli uwezo wa kufikiri ndo umeishia hapo! au tuamini like father like son! uswahili bwana! arghhhhhh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.