Nilikuwa songea juz Kati nikamkuta bwana mmoja anamassey 90hp amechukulia msumbiji chuma inanguvu ad inaboa anasema katumia 31m liko vzur Ni 4wd linaweza bomoa hata barabara ya lami tatizo jamaa akawa hatak kuwa muwazi namna ya kupata msumbiji anahsi nitaharibu biashara yake ya kulima mashamba...
Ndugu zangu naomba mnitajie bolea inayofaa kwa kilimo Cha mpunga ktk hatua zote had mavuno nataka ninunue saiv niweke stoo kuepusha kukutana na wimbi la mbolea kupanda Tena! Pia naomba ushauri km mbolea za maji mfano super gro km inafaa kw kilimo Cha mpunga
Wanajamvi Mimi kwa uzoefu wangu yangu nianze kulima mahindi mwaka 2018 mkoa wa manyara, nmekuwa nkilima dk89 hii hubeba watoto waeili had watatu, huhtaj mvua ya kutosha, kwa upande wa dk31 inabeba wawl au mmoja punje zake nyeupe na kubwa za kuvutia machon! Mbegu hii inaiva mapema ht km mvua...
Jaman Mimi nmelima dengu Hanang nataraji kuvuna mwez agust, lakin katk pita pita zang z kutafuta maisha nikakuta mkoa fulan Kuna udongo ambao pmj na mvua kukata mwez wa nne mwanzon mpaka sasa Kuna unyevu kwa juu je mazngra hayo yanafaa kwa kilimo Cha dengu hata km udongo sio mweus? Hilo ni mosi...
Wapo wanalima bila mbolea wanapata gunia 15 wastan lakn ukihtaj mavuno bomba unatia mbolea kwa heka mfuko mmoja au miwil, kwa maharage, soya, na alzet Haina haja y mbolea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.