Nadhani haupo makini maana mccm alisema jana kuwa rais wa Libya alikuwa Saddam Husseim washabiki dole gumba wakamshangaa. Alipoteza dira na kujikanusha kisha akatoa jibu sahihi kuwa Saddam Hussein ni rais wa Kuwait. JE NAYE MAFUNGUO ALIPOTEZA MAKUFULI?
Nimepitia rasimu ya katiba mpya 2013 sijaona ibara yenye kutamka HAKI ZA WANAUME wala WAGANE. Haki za binadamu zimetaja makundi mengi kama haki ya mtoto, haki za vijana, haki za wazee, haki za wanawake(na wajane) na makundi mengine. Lakini wanaume naona kama wamebaguliwa au ndio tuseme katiba...
MAZISHI: Marehemu amezikwa leo, Alhamisi 15/08/2013 nyumbani kwao. Tunawapa pole wazazi, familia, majirani, ndugu, jamaa na marafiki wote kwa msiba huu mkubwa wa mpendwa wetu. Mungu atupe maisha ya wokovu na amani sisi sote tulio hai. Marafiki kutoka kanda ya kaskazini mliotuwakilisha huko...
Mwili wa marehemu umesafirishwa jana saa tatu na robo usiku kwenda Mahenge, Morogoro. Taarifa za muda huu ni bado hawajafika na safari inaendelea. Update: Hatimaye mwili wa marehemu umewasili majira ya saa nne na dk 45 usiku...
Mauti ni adui.Mwili wa marehemu Privatus umewasili Mahenge kwa maziko. Maisha ya mwanadamu ni mafupi na huenda wewe umebaki na masaa au miezi au miaka michache tu.
Kweli Siwaelewi CCM. Juzi juzi kama vile walisema AMANI inaharibiwa na baadhi ya vyama vya upinzani. Lakini sasa nasikia kuwa watu kutoka nje ya nchi wanaharibu amani yetu! Suala la udini na kauli tata zinaimaliza na kuizika CCM?
Tuikubali CHADEMA Nguvu ya Umma na Amani Tanzania. Chagua CHADEMA...
Ni kweli hakuna jambo pasipo mwanzo wake. Mimi napenda kusema wazi kuwa wanasiasa wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA ni watu makini sana kiasi cha kuamsha watanzania kudai haki zao kwa nguvu ya umma. Kinachotakiwa ni watanzania kuiamini Chadema nchi nzima ili kukomesha dhuluma ya CCM kwa...
Acha kuchokoza biashara za watu! Unataka kufahamu nini katika hayo mambo ya king'amuzi? Je!hujui kuna issue za simu zao na speed governor? Watanzania hamtakiwi kupata habari muhimu maana mtaanza kuandamana kama watu wa mtwara. Hakuna cha satiliati lazma mtanunua vinq'amuzi tena nasisitiza vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.