Nadhania hapa ndio umuhimu wa kutokuwa na gap kubwa umeonekana waziwazi, kwa sababu isingekua muhimu angekuacha bila kukusomesha mkachapa mwendo, sio wote wenye nafasi hizo za kuweza kuwasomesha wenza wao.
Kha! huyo asha fanya pipi anakosa nini kwa huyo mme wake mpaka anaonja onja alikubali kuolewa kwa nini? Si angebaki kuwa cha wote tu ili ajiridhishe tu?
Hivi vitu vina Hati Maliki eti.....Ukishajimilikisha kwa mtu matumizi ni kwa muhusika na si vinginevyo Mara tatu ni More than Much,
Hata...
Tunaposema tunawajua watu wengi wenye tofauti kubwa kielimu alafu ndoa zimedumu sipingi wapo ila katika Asilimia ngapi? Ni ndoa ngapi za namna hiyo hudumu? KUna ndoa kudumu kwa sababu tu wanandoa wameamua Kuvumiliana kwa sababu ya vitu fulani fulani lakini ndoa
zenye afya kabisa(sijamanisha...
Shukrani sana na Hongereni waheshimiwa wote mliotuwezesha kufatilia mjadala huu hata huku kusiko na Luninga wala, Big up kwenu wana JF
wazalendo mliokuwa mkiripoti live. Nimepata mambo mengi ya msingi kwa kazi yenu njema. Mbarikiwe.
Safi sana kwa watu wa Tunisia hii ndio uhalisia wa kile nguvu ya watu yaweza fanya, Watch out you so called Leaders in Tz
Hasira za watu zitawatafuna tumesha choka na ukora wenu.
Haya mambo hutokea tu, ukiangalia wapo wanaokuwa nao 24/7 alafu wana wacheat sembuse kwa waliowaacha nyumbani?
Na kucheat sio kutompenda mpenzi wako ajali hutokea.
Inasikitisha sana ni rahisi sana mtu kusema chochot eanachojisikia, But if you put yourself in the position of their families and beloved ones
you Cannot take this issue that lightly na kusema kuua wachache wanao taka kuleta fujo. Damu isio na hatia inamwagika kwa Ujinga wa
wanaojiita viongozi...
Wameiba kura,wamejisimika kwenye uongozi sasa yameanza kuwashinda na wana anza kutumia nguvu kipumbavu hata zisipohitajika na kupoteza
maisha ya watu wasio na hatia, Mungu wa haki anaona na ninaamini atazidi kututia nguvu ili kupigania haki yetu. Tanzania haijabinafsishwa kwa
watu wachache...
Action speaks louder than words, Matendo yake ni dhahiri maneno ni porojo tu kuwafumba watu macho nionavyo kuna Mheshimiwa ana agenda binafsi hata kama watu watakubali au watakaa ukweli uko wazi.
Ni kweli kabisa kama hatutakua wenye kuelewa tunataka nini na kukisimamia tukaendelea na hizi nidhamu za uoga huku tukijua kabisa ni haki yetu kujua kule tunakopelekwa na kuwa na mchango mkubwa wa maamuzi kwa sababu sio siri Serikai imekua ya wachache wasiopendwa ndio wanaotuamulia mambo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.