Hivi Ni Nandy yupi alikuwaga na Ruge butahaba? Kuna Dada anaitwa Nandy walimsemaga sana kwamba ameathirika sijui ni yupi niambieni jamani ohh! Hizi Raha wacha tule tuendelee kumeza dawa wa kufuata masharti. Kazi iendelee
Siku zote nakufagilia sana kwenye topic zako lakini Leo umeandika ujinga tu. Kuoa na kuolewa sio maisha na wala sio maono. Kwa maisha ya sasa hutakiwi kuoa mapema kama zamani. Siku hizi kuoa ni miaka 35 kuendelea hata 40 ni umri mzuri sana wa kijana kuoa kwani atakuwa ameshawekeza na pia akili...
Wadau naombeni kujua ni vigezo vipi au sheria zipi zinatumika kuhusu kuwahifadhi wageni katika nyumba yako. Nina nyumba yangu nahitaji Ku host volunteers naombeni kujua ni taratibu zipi zinahitajika na document zipi zinatakiwa kwa kupata usajili . asanteni
Kanisa lipo sahihi kabisa hata kufukuzwa ni sawa tu . huko ni kutangatanga kiimani na kunajis kanisa. Hawa wanaweza kuleta mapepokanisani na kuwaambukiza wengine.pia ni wapotoshaji wataliharibu kanisa. Kwakweli waungame na kutubu wamekosea sana. Katoliki hawafumbii macho uchafu kama vipi hao...
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria...
Kuajiriwa muhimbili ni sawa kwakuwa madaktari wengi wanafanyaga part time tofauti na ajira ya kudumu serikakini. Ujue muhimbili huyu ni daktari wao wa kudumu lakini selian ni ya MTU binafsi hivyo akiajiriwa temporary au partime ni sawa . soma sheria za ajira vizuri ujue mshahara wake unatoka...
Tatizo sio huko monde tu hata kule dayosisi ya kaskazini ni shida tupu mkuu nilienda kusali kanisa LA Ilboru nikakutana na tangazo kwamba kuna Mchungaji anaitwa Philemon ameandika barua ya kuacha Mchungaji na amefungua kanisa lake analiita tawi LA Kkkt . hivyo waumini wao wametangaziwa kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.