Wakuu kumbukeni Shishi baby ni Mtangaza nia uko Igunga sasa msishangae haya mambo ya kuhurumiana yanatokea sasa kupigwa Miaka yote anapigika lakini yote kwa yote NDOA na iheshimiwe na Watu wote
Hoja yako nzuri sana lakini nachokwambia hakuna wa kugusa maslahi ya hao Waheshimiwa Wabunge zile meza zitagongwa mpk zipauke na kila jambo watalikwamisha mfumo unawapa nguvu kubwa sana hao Watu lakini siku wakiguswa kwenye hayo Maslahi yao ndipo Bungeni patakapofuka moshi mzito amini ili
Mmiliki wa izo Appartment ni Mfanyabiashara Firdaus Uhusein ni mkopo toka Bank ya Dunia nadhani kuna wakati rais wa Bank ya Dunia alitutembelea na akaenda kuukagua huu mradi
Namaanisha wakati Duniani uko Mataifa yenye nguvu kiuchumi
Yanapambana na Ugonjwa hatari wa Corona
Sisi uku Afrika tungesimamia Maendeleo yetu sisi sote
Kazi tungezifanya kwa bidii na maarifa hakika Mataifa ya Afrika uchumi ingelisimama
Sent using Jamii Forums mobile app
MWANZO 3:16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Sasa kama Mungu ametaka tuwatawale iyo haki sawa kwa wote mnaitolea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ifike mahali uku ndani tukubari na mawazo ya vyama vingine
Hakuna ambaye haoni kazi nzuri anazofanya rais Magufuli
Lakini kwakua rais Magufuli ni Mwanadamu na kuna sehemu anaweza akawa ametereza au ameshindwa kupafikia na vyama mbadala wamepaona na kupasimamia
Basi tusijigeuze kama jamvi la...
Wachaga ndio Waisrael wa Afrika ivyo mkiwalaani wale waliobarikiwa nanyi mtalaaniwa ila mkiwabariki waliobarikiwa hakika Mungu atawabariki Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine unawaza hii Jamii Forums ina Watoto tupu wa LY waliomaliza juzi auuu...maana uwezi tegemea msaada wa mawazo kama mko hv
Mtu ametapeliwa mnaanza kumcheka na kumdhiaki kama hujawai tapeliwa basi uwezi jua Mtu anatapeliwa vipi?
Mjifunze kukaa kimya kama huna lenye msaada kwa mfikwa...
Hapo hakuna shida ni jambo jema kufurahi pamoja na wale walio chini yako Wote wanaotumia Magari ya Serikali ni Watumishi wa Umama ivyo hakuna sababu ya kutoyatumia ata wakati mkiwa na furaha
Hakuna Mzungu mwenye Mapenzi mema na Mtu mweusi ifike mahali tujifunze yule Mzungu Dj aliyesambaza Ukimwi kwa Wadada wengi wa Kiafrika Wadada zaidi ya 600 tusimfurahie tu kwakua anaongea Kiswahili Mi naungana na Mtoa uzi tuwe makini sana na Watu aina ya Bongozozo tunaweza kuja lia baadae Mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.