Recent content by emanuel93

  1. emanuel93

    Wana UKAWA tusishadadie maamuzi ya ZEC kuathiri urais wa JMT

    Baba kuna shinikizo linakuja coz vyombo vya habari vinafikisha ujumbe kwa mataifa rafiki kwa mfano Leo nimeona VOA wanasema tz democracy imebakwa
  2. emanuel93

    January Makamba: Uchaguzi Zanzibar hauna mahusiano na uchaguzi wa Rais wa Jamhuri

    Yani nilikuwa naangalia straight talk ya VOA wanashangaa tume inatangaza nn wakati wenzetu wamesha futa uchaguzi.hai make sense jaman
  3. emanuel93

    January Makamba: Uchaguzi Zanzibar hauna mahusiano na uchaguzi wa Rais wa Jamhuri

    Makamba nilikuwa namkubali sana but hizi wiki mbili tatu kashuka to 0% Coz anatumika vibaya mpk to mch
  4. emanuel93

    Rais Kikwete anaweza asikubali kukabidhi nchi CCM ikishindwa

    Hujajuwa ndani ya #RIPccm kuna wanafki kibao ambao bado hawajatoka na 25 ni lowasa tu
  5. emanuel93

    Dk magufuli, nimekuahidi lini kukupa kura yangu?

    Nitawaretea kauchumi ka viwandaa Magufuli usituone wa watoto huo uchumi wa viwanda utatokea wapi kama jamaa yako kashndwa kutupa umeme sustainable #RIPccm
  6. emanuel93

    CCM itashinda mapema na kweupe bila bao la mkono

    Yani katika mafala wote duniani ww ni no1 huu mwaka sio 2005 jombaa lazima tutashikana kwhy ccm take care coz you gat 1 week to become #RIPccm
Back
Top Bottom