Recent content by emanuel kiwonyi

  1. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Hio ni iyunga secondary huyo fuvu Alitalia kunifukuza shule huyu mwalimu mshenzi sana umenikumbusha mbali sana
  2. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    Iyunga secondary hio
  3. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Sisi tumejaliwa kuvumbua still za mapenzi mbuzi kagoma kifo cha mende na mengine jazia
  4. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaowacheka watu waliojenga nyumba badala ya kufanya biashara

    Mimi mwenyewe sijajenga na viwanja ninavyo 3 na nilianza ujenzi nikasimama nikaingia kwenye biashara sasa naona mambo yanakwenda na nikitaka kuendelea ujenzi naendelea bila.kuwa na mawazo nachoamini mimi kama uko kwenye biashara ukawa na nizamu ya pesa na mzunguko upo swala la kujenga ni jambo...
  5. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa kutafuta au kumiliki hela

    Hamna jambo kama hilo pesa bado ina umuhimu sana hayo mambo unayoyawaza hayana tija
  6. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa kutafuta au kumiliki hela

    Na ukiumwa unaingia bandani au Shamba unachoma Sindano na ukitaka sukari unaingia bandan unachota bado pesa ina umuhimu mkubwa sana hayo mambo ulioyaongea ni selusi ndogo kwenye maisha
  7. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Kwanini vichaa wengi hunasibishwa na Usalama wa Taifa? Inakera sana

    Kweli wengi wanajifanya ni vichaa lakini sio vichaa mimi kuna mmoja nilikuwa namjua ni kichaa lakini juzi nimekutana nae kwenye v8 nyeusi akiendeshwa na gari lilisimama akawa anaongea na jamaa mmoja yule alivyokuwa anaongea nae alivyomaliza gari iliondoka jamaa akaja akatuambia jAMAA NI USALAMA
  8. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Umewahi kukutana na tukio la kuagiza kitu mtandao halafu ulicholetewa ni tofauti na ulichoagiza?

    Hayo ni mambo ya kawaida sana kama sisi wa Mikoani tunaogiza bizaa tunakutana na changAmoto sana unatoa odar anakwambia.ninacho unatuma pesa unakuta hana anaanza kutafuta kwenye Maduka mengine
  9. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Na ni nchi ya pili Africa kwa uchumi mkubwa
  10. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Hii kali nchi ya pili Africa kwa uchumi mkubwa
  11. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Kila la heri angalizo asije kukuvunja hio zakari
  12. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Ni Sawa lakini,kwa huo umri bado hajakomaa kiakili na kujua maisha ni nini na ndoa ni nini wengi bado wanskuwa na maisha ya anasa na ujana unakuwa mwingi nachoona mimi ni asilimia ndogo sana ukampata na akawa anajua nini maana ya ndoa labda mungu awe amekuchagulia na Ukatulia nae nachokuambia...
  13. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania Tumeshakaa mwezi hatuongeleshani. Nianzishe mahusiano mapya au bado mapema?

    Hayo mausiano Mabaya we unampenda yeye akupendi
  14. emanuel kiwonyi

    JamiiForums Tanzania TTCL inaendeshwa kisiasa au kitaalamu? Kwanini wanazima intaneti Jumapili mpaka Jumatatu?

    Ivi bado wapo nilikuwa na laini yao nimeshaitupa
Back
Top Bottom