Recent content by emanuel kiwonyi

  1. emanuel kiwonyi

    Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

    Ee mwenyezi naomba uje umalize hii dunia kama ulivyofanya enzi za nuhu
  2. emanuel kiwonyi

    Wanasayansi waelezea hatari za kifo cha ghafla wakati wa tendo la ndoa

    Mkuu asilimia kubwa wanawke wenye sura za huwa Wana k tamu na hazina maji Hawa pi cc Kali wengi Wana k mbovu sana
  3. emanuel kiwonyi

    Mfanyabiashara kijana aandaa kaburi lake baada ya kukiuka masharti ya Mganga

    Pesa xa maagano na bado jehanamu inakusubiri tayari alishaweka maagano na lusifa
  4. emanuel kiwonyi

    TABORA: Mfanyabiashara apigwa risasi na majambazi mchana kweupe

    Marehemu inawezekana alikuwa anawafanyia janja janja wenzake
  5. emanuel kiwonyi

    Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

    Kweli mkuu wanaita nsima nilikula living stone karibia na border ya kazungula kuingia Botswana
  6. emanuel kiwonyi

    Sikujua, kumbe chanjo ya uviko ni lazima na si hiyari tena?

    Wale wenye Imani ya kwangu tayari ile chapa ya 666 inaanza taratibu maandiko lazima yatimie kiama hakipo mbali
  7. emanuel kiwonyi

    Hali imekuwa ngumu sana Wakuu. Nidhamu ya kutunza hela inahitajika

    Mkuu ni shida maisha yamebadilika sana na hali ilivyo Sasa Kuna baadhi ya matumiz utaanza kuyaacha bila kupenda Sasa utaangalia Yale ya muhimu tu lakini Kuna wengine wameshajiongeza wamekwenda kutafuta pesa za maagano
  8. emanuel kiwonyi

    Laana: Usije ingilia ugomvi wa wazazi hata siku moja

    Mzazi hakoseagi kwa mtoto utabaki kuwa mtoto milele na mara nyingi usipende kubishana na mzazi au ukafikia hatua ya kumnyooshea kidogo Kuna mifano mingi tunaiona kwenye jamii tunayoishi na laana ya mzazi ni mbaya Sana na huwezi ukafanya jambo likaenda na mwisho wake ni kifo Mimi Kuna mdogo wangu...
  9. emanuel kiwonyi

    Natabiri miaka 50 ijayo watoto wengi hawatawapenda Mama zao. Upendo utarudi Kwa Baba

    Mkuu huko atatafika mungu karibu anarudi maandiko mengi yametimia bado machache tu yaliobaki kiama hakipo mbali
  10. emanuel kiwonyi

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    Ongera mkuu bado unanyanganana vitumbua asubui na wadogo zako
  11. emanuel kiwonyi

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    Na usiku unasikiliza Dada yako akipewa mkunyange
  12. emanuel kiwonyi

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    47 mkuu bado unanyanganana na wadogo zako vitumbua
  13. emanuel kiwonyi

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    Mkuu hio asilimia ni kubwa Sana na tunapoelekea ni tatizo kubwa kwa ma single mama watakuwa wengi kijana anampa msichana mimba yeye mwenyewe analelewa Sasa atawezaje kumuhudumia mwenzake
  14. emanuel kiwonyi

    Uchafu na harufu mbaya machinjio ya kuku

    Mkuu nenda pale nyuki tegeta sokoni wanapochinjia kuku Kuna arufu na vumbi la ajabu Cha kushangaza wale jamaa wanaochinja wameshazoea hile hali na unakuta wameagiza chakula wanakula kule ndani Kuna siku niliingia Mle ndani nilipata mafua na homa kali.
Back
Top Bottom