jina langu lilikua kwenye first batch nikalipia ile 30000 then juz nkaenda chuo husika nikaambiwa chuo hakina taarifa yoyote toka tcu nimeshindwa kuelewa kwamba TCU tatizo ninin alafu kwa nin hajatoa taarifa ya namna ya kuripoti kwa sisi ambao tumepata transfer??
sikuhitaji dharau za namna hiyo mfano cjui chuo cha kata mwingne kaamua kurekebisha herufi za kwenye uzi kama huna hoja ya kuhusiana na ombi langu si ni bora zaidi ukaacha kuchangia?naomba tuwe waungwana.
jamani ndugu naomba ushauri kuhusu hp laptop processor dualcore nasikia zinakua proccesor mbili sasa swali langu je kila processor moja wastan iwe na GHZ ngap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.