Recent content by EM LAIZO

  1. EM LAIZO

    Hivi sisi tuliopata transfer utaratibu unakuaje?

    Kwani wametoa majina mkuu baada ya kulipia kuthibitisha umepata transfer tayari???
  2. EM LAIZO

    Hivi sisi tuliopata transfer utaratibu unakuaje?

    Kwani wametoa majina mkuu???????
  3. EM LAIZO

    Hivi sisi tuliopata transfer utaratibu unakuaje?

    jina langu lilikua kwenye first batch nikalipia ile 30000 then juz nkaenda chuo husika nikaambiwa chuo hakina taarifa yoyote toka tcu nimeshindwa kuelewa kwamba TCU tatizo ninin alafu kwa nin hajatoa taarifa ya namna ya kuripoti kwa sisi ambao tumepata transfer??
  4. EM LAIZO

    Msaada TCU Jamani

    hujielewi
  5. EM LAIZO

    msaada tafadhali

    naomba kujuzwa jinsi kujiunga na vifurushi vya internate kwa modem ya TTCL
  6. EM LAIZO

    Waliochaguliwa UDSM undergraduate

    pia majina yote bradha*
  7. EM LAIZO

    Wasomi hodiiiii....!!

    karibu lakni usiwe kama mpigamsuli
  8. EM LAIZO

    MSAADA TAFADHARI(wale wa udom)

    asanten sana wakuu kwa kunipa mwanga wa nini nikafanye mungu awabariki..
  9. EM LAIZO

    MSAADA TAFADHARI(wale wa udom)

    sikuhitaji dharau za namna hiyo mfano cjui chuo cha kata mwingne kaamua kurekebisha herufi za kwenye uzi kama huna hoja ya kuhusiana na ombi langu si ni bora zaidi ukaacha kuchangia?naomba tuwe waungwana.
  10. EM LAIZO

    MSAADA TAFADHARI(wale wa udom)

    jaman naomba anayeifahamu kozi ya bachelor of science in applied geology ya udom tafadhali anijuze ikoje ili nijipange.naomba mwenye msaada anipe.
  11. EM LAIZO

    Hellow!

    karibu sana
  12. EM LAIZO

    ushauri kuhusu hp laptop tafadhari

    jamani ndugu naomba ushauri kuhusu hp laptop processor dualcore nasikia zinakua proccesor mbili sasa swali langu je kila processor moja wastan iwe na GHZ ngap?
  13. EM LAIZO

    Hii sms kuhusu TCU ina ukwel wowote........................ ...............????!?

    ....wanazusha 2 hizo habari mbona kwenye website yao hawajaandika..ebhu 2subiri 2one kama ni kweli
  14. EM LAIZO

    heylow

    hodi wakuu
Back
Top Bottom