Recent content by ELWILL

  1. E

    Mkutano wa Juma Duni leo Iringa katika Jimbo la Waziri wa CCM Lukuvi wadoda ile mbaya

    nashukuru kuona na wewe ni mmoja wa wenye hiyo advanced diploma!
  2. E

    Zitto Kabwe umemuelewa vibaya David Kafulila, alimaanisha hivi

    unafikiri first class ni makalio eti kila mtu anayo?
  3. E

    Zitto Kabwe umemuelewa vibaya David Kafulila, alimaanisha hivi

    acha uongo wewe, akili yako fupi inakutuma ivo? hakuna wa kumzuia zito kurudi dodoma!
  4. E

    Zitto Kabwe umemuelewa vibaya David Kafulila, alimaanisha hivi

    acha USENGEREMA kunguni wewe, alichoongea huyo mpuuzi mwenzio kinahusiana nini na ukurya? hebu muache kuhubiri ukabila, na mfikirie mara mbili kabla ya kutuandikia upuuzi!
  5. E

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    hayo yanahusiana vipi na kinachozungumzwa hapo, kama huna any serious argument just zip your mouth!
  6. E

    Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

    dear God, have mercy on this poor soul and keep us protected from this evil spirit!
  7. E

    Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo - Agosti 30, 2015

    kuna bango hapa, eti " kuzikwa na wengi sio kwenda peponi"
  8. E

    Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo - Agosti 30, 2015

    heheheee, mkuu umenifurahisha sana. anajifanya hawaoni hao CHAGGADEMA!
  9. E

    Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo - Agosti 30, 2015

    Acha unafki mkuu, kwani jana tbc walivyorusha uzinduzi wa kampeni za ukawa walikua TBCUKAWA? Mimi nafikiri tunahitaj kusikiliza hoja zao, kama zina mantiki au hazina. TUSIENDEKEZE USHABIKI!
  10. E

    Nifanyeje? Nimeichoka CCM, ila namkubali Magufuli zaidi kuliko Lowassa

    I agree, serikali ya mseto ndio suluhisho pekee, sio ccm wala ukawa!
Back
Top Bottom