Recent content by ELWA MAN

  1. E

    Naombeni ushauri

    Mbinu ninazo tumia kwa masomo mengine zinashindwa kunifanikisha katika somo la psychology
  2. E

    Naombeni ushauri

    Ndgu zangu naombeni ushauri, hivi ni mbinu gani zitanisaidia ili niweze kusoma na kulielewa somo la psychology. Linanipa tabu sana hapa chuoni.
  3. E

    Nisaidieni jamani

    Jamani ndugu zangu naombeni mnisaidie, demu wangu anataka tufanye mapenzi kila siku. Hivi nifanyaje jamani
  4. E

    naombeni ushauri

    Kaka hiyo negative ni kizazi factor na sio ukimwi, tatizo nasikia kwamba watoto huwa wanazaliwa na kufariki ikiwa baba kizazi factor ni postive, na mm dam yangu ya kizazi facor ni postive.
  5. E

    naombeni ushauri

    Jamani naombeni mnishauri mwenzenu, demu wangu kapima na ana -[negative]. hivi kiafya kuna madhara gani ambayo naweza kupata, hususani katika kazaa watoo. Inasemekana kwamba watoto wanafariki, je nifanyaje katika hli lililonikumba.
  6. E

    Naomba ushauri

    Jitahidi ku la matunda laini na kunywa maji mengi tena ya kutosha.
Back
Top Bottom