Wana Jamii Forum. Habari zenu nyote wapendwa. Samahani naomba mwenye wimbo wa Lovy longomba unaitwa ELIE WANGU anisaidie kuupata maana nimeshahangaika sana bila mafanikio. NAOMBENI MSAADA WANA JAMII
Naomba kuuliza kwa mafundi tiles (VIGAE ) pamoja na waiza bidhaa hii ya VIGAE kama kuna uwezekano wa kupata VIGAE vya rangi ya kijani na njano.
Samahani naomba majibu kwa wenye kujua
Mafundi na wataalamu wote wa ujenzi mliomo humu JF,
Naombeni MSAADA juu ya MAKADIRIO ya ujenzi wa eneo lenye urefu wa mita 31na upana wa mita 26.
Upande wa Saruji, mchanga na kokoto kwa ajili ya JAMVI
Nashukuru nimeshaitumia hiyo Castro oil. Lakini maumivi wakati wa ku push mzigo ilikua sio mchezo [emoji51][emoji51]🥱[emoji3062][emoji3062] maana ni jasho
Nashukuru sana kwa ushauri wenu. Nimeufanyia kazi. Nimetumia Castro oil, lakini shughuri yake wakati wa kutoa mzigo ilikua sio mchezo, maumivi ni makali mno, na mpaka sasa eneo kutolea haja kubwa ni kama limevimba kutokeza nje. NAWASHUKURU WANAJAMII WOTE KWA USHAURI WENU.
Nimetumia hiyo Castro oil. Hapa nipo hoi joint za magoti zimeishiwa nguvu na nimechanika sehemu ya mlango wa haja kubwa. ASANTENI WANAJAMII WOTE KWA USHAURI WENU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.