safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Naomba kukuuliza maswali kadhaa.Nashukuru mkuu, ushauri ulio nipa naufanyia kazi. Asante
Je unahisi haja imebana ila ukienda chooni ndo hakitoki kwa ugumu..?
Au hujisikii kabisa kama haja imebana ila unapata wasiwasi kwamba siku kadhaa kwa nini hujapata choo ?
Na je ulipoingiza kidole ulihisi umekamata kinyesi kigumu au hukuhisi kama kuna kinyesi umekamata au umekigusa kwa kidole ?