Recent content by ellymzalendo

  1. E

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    duh! jamani unaweza ukaona watu wanapita barabarani na ving'ora na misafara watu wanasimama shuhuli zao na safari zao kuwapisha na watu wanalala hoi kuandaa ujio wao, wanapigiwa saluti kila dakika LAKINI MH!! Nashindwa hata nitumie tusi gani la kiswahili ambalo kwenye kamusi hata nikikamatwa...
  2. E

    UKAWA wapata mapigo mawili ndani ya masaa 24 kabla ya uchaguzi

    SAWA MWITA BAHATI MBAYA WAPIGA KURA WA TANZANIA HATUJAKUBALI!!!.....Hu mwaka mmewajengea watz historia wasiopanda malori wamepanda...ambao hakusafiri pasaka na Idd nao walipata fursa ya kusafiri...sasa leo muwatoroke kuwarudisha kesho muone cha moto
  3. E

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    watembelee kijiweni baada ya kazi watakueleza kuwa wakikodiwa na ccm wanatangaza dau kubwa warudishe zile elfu 10000 walizotumiaga kubadilisha namba za pikipiki. ...hapa mabadiliko tu!!!!
  4. E

    GE2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

    kwanni yule Mfalme Mzee Mpumbavu asimuwakilishe? yeye si alikuwaga mkali wa Ma-news
  5. E

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Failure are divided into two classes: those who thought and never did, and those who did and never thought.....but a failure will remain a failure..
  6. E

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Hivi kutolewa madarakani huwa kunauma sana eeh?...jamani form four wanatarajia kufanya mtihani november, hicho kipindi si wangemdhamini hata mwalimu mmoja wa history afundishe hata factors for the rise and fall of idd amini halafu mwakijembe awe kwa hapo pembeni kwa wale wasiomjua idd amini awe...
  7. E

    Sura za makamanda leo baada ya mikutano ya TINGATINGA Moshi na Arusha jana

    kwa unyenyekevu napenda niwajulishe kuwa hakuna ccm moshi Bali watu walichangamkia fursa ya kuwaona wasanii wetu nafhibitisha kwa kusema ccm yateseka mbele ya mama Regina lowasa aliyewakusanya wanawake wa Kilimanjaro Uhuru park. watu walianza kupigiana simu kuna kwenye fiesta baada ya Lusomwa...
  8. E

    Mgombea Ubunge wa CHAUMA kuzungumza na waandishi wa habari

    Mimi sio UKAWA ila MTANZANIA nitamchagua lowasa
  9. E

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    hizi akili kimavimavi zitaisha lin?? watu wanapenda kujifanya maafsa usalama, wachunguzi, wafuatiliaji!!! akili za rojo hizi....huyo MTU majibu yametolewa kuwa alivunjika mbavu name na kuvuja damu kwa ndani akashindwa kupumua..hukusikia???? Dk wa mihogo so ajabu haya anatishwa na anaoshare nao...
  10. E

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    Dr love pimbi silaa mh! harakati zake bwana zinaniacha hoi- yule na yeye ni kama mike tu mwenye manano anamtumia!!! akate chululu yake aachane na yule shosti arudi upadr
  11. E

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    tuwakiliashe wew na familia yako na A to Z mkiyapata huko ccm mtuite
  12. E

    Yanayojiri Monduli: Mkutano wa Edward Lowassa - Uwanja wa Barafu Mto wa Mbu

    moshi mjini shauku ni kubwa!!!!! mpaka sasa ajenda ni Kiwanja gani kitatosha tukaonyeshe msimamo kwa MH. Edward Lowasa A.K.A BABA WA TAIFA MLEZI hutaki nakuwekea bili ya malimao gengeni miaka mitano ya utawala wake.
  13. E

    Wapo waliojaribu kupambana na system ila mwisho wao haukuwa mzuri

    Mbumbumbu na mimi nishiriki japo kwa kuuliza ka swali mbogamboga kangu haka....hivi after COLONIAL GOVENMENTS IN AFRICA eg Tanganyika, Kenya,South Afica, what governments ar now exist in these countries?.and who was Nyerere, kenyatta, Nelson?...Au ka swali kangu hakana nafasi hapa kwa kuwa enzi...
  14. E

    Rais Ni Lowassa, Waziri Mkuu Mwanamke

    Mh!!!! kwani wanagombea wizi au urais??? maana mimi nimejiandikisha kupiga kura ya madiwani,wabunge na rais!..na nakupa siri yangu tu ukipenda ivujishe..NAMPIGIA LOWASA KURA YA URAIS ndo hayo...
  15. E

    Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

    usafi wake nini?? mwaka huu mtatapika hayo maslahi kivuli mmayopata fisiem!..hata awe msafi wa marimbani na madhabauni what we need is ccm out!...na kwa sasa nipo katika hatua za kati za kumalizia mazungumzo na mwanamke aliyedhalilishwa na kukatishwa masomo na kupoteza ajira yake na huyo msafi...
Back
Top Bottom