Ushauri wangu kama mtu niliyechangia mageuzi ya uwepo wa Barbershop Bora Kwa Dar(Kisarano iliyokuwa Tabata shule) baada ya kuangalia mapungufu ya zilizokuwa saloon tajwa wakati huo ya Bitebo na nyingine maeneo ya Masaki na Sinza.
Kwanza weka Hesabu Kwa kila kinyozi unayemkabidhi kiti.
Wape...
Kuandika zinafanya Kazi ilihali kuna malalamiko ya wazi kuwa haifanyi Kazi na tukio limeshindwa kufanyiwa kazi Kwa sababu ya ukosefu wa kamera ni kukimbia wajibu wenu
Ni vema mtuambie mmeshughulikia vipi tukio hilo la abiria wenu badala ya kuja na taarifa rahisi kiasi hiki
Leo Serikali Kupitia TPDC imeita waandishi na wahariri wa Habari mbalimbali na kutaka kufafanua juu yaadai yaliyotolewa na ACT Wazalendo kuhusiania na kashfa ya uagizaji Mafuta.
Nimesikiliza hotuba Yao na kurejea maswali ya ACT kiukweli bado ufafanuzi inahitajika
Nakuwekea maswali ya ACT hapa...
Katika siku za hivi karibuni Bodi ya Ithibati kwa waandishi wa Habari Nchini(JAB),imekuwa ikijitokeza mara kwa mara kuonya waandishi wasiosajiliwa na Bodi hiyo wasijishughulishe au kufanya kazi yoyote ya kihabari mpaka watakapothibitishwa.
Hili linaweza kuwa Jambo jema lenye kulinda hadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.