Napenda kutoa wazo kwamba, kwakuwa tumeishi kwa udugu, umoja na amani, kwa miaka hii 50 na kwakuwa tumekuwa na muungano wa kipekee duniani, wenye mafanikio makubwa sana na kwakuwa sherehe hizi muhimu zimeangukia Jumamosi, na kwakuwa watanzania kuanzia Pemba mpaka Mtwara, Moshi, Bukoba na sehemu...