Nguo inauzwa dukani 10,000 wewe huna hela ukaamua kwenda kukopa kwa dada yako shilingi 5000 na kwa kaka yako shilingi 5000 ukawa na shilingi 10,000 ukaenda kwa anaye uza nguo ukapatana nae shilingi 9,7000 na ukarudishiwa shilingi 300 na ukaamua kupunguza deni kwa kaka 100 na dada 100 na ukabakia...
mtoto mmoja alikua analia makaburini kelikeli sasa jamaa moja akapita akamuuliza mtoto analia nini. Mtoto akajibu kaka wa mke wa maiti ni mjomba wangu je huyu mtoto anahusiano gani na marehemu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.