Habari zenu wakuu nimekwama kijana mwenzenu nauliza kama kuna mwenye ufahamu wa usajili wa project na taratibu zake niende wapi. Maana naogopa sio kila mtu wa kumwambia idea zetu. so kwa labda mwenye ufahamu kidogo aniambie natakiwa kupitia wapi na wapi
KIUKWELI NINA SHIDA YA iyo prog.. bt cjui ntaipataje kwa urahisi na atakae nsaidia bas na mm ntampa sayansi yang kuhusiana na net na hakika wote tutanufaika:madgrin::becky::becky::becky:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.