Recent content by Elkana92

  1. Elkana92

    Hata Malaria inapona kwa muarobaini na kujifukiza, lakini tangaza hadharani uone

    Hata kama dawa ingekuwa ni kujifukiza lkn inatakiwa uwekwe mfumo mzuri ambao utarahisisha kupima watu wengi kwa mda mfupi kwan uwe kupambana na adui bila kugundua yuko mahali gani.
  2. Elkana92

    Kwa mahitaji ya Logo Classic ya Company/Biashara yako na business Cards za kuendana na hadhi yako pitia hapa

    Pole sana kaka izi ni changamoto za kazi. .kuna wateja wanadhani kazi ya graphics design ni rahis kumbe zinaitaj utulize akili sana na pia kutumia muda, na mtu akiona bei anadhani unamuibia. ..piga kazi achanana na awa washamba wasiojielewa. Kazi nzuri.
  3. Elkana92

    MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

    Hii genetical zaidi. ..waulize bibi zake wa pande mbili kama kwel wazazi wake waliwahi au walichelewa kuongea baada ya hapo ndo utajua tatizo liko waapi
  4. Elkana92

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Chunusi husababishwa na mafuta yaliyo kwenye ngozi, kikubwa cha kufanya usiangaike na dawa za kuondoa chunusi za aina yoyote ile make unaweza jikuta unaongeza tatizo zaidi. Solution ni kwamba unapoenda kuoga paka sabuni usoni ambayo sio medicated kisha subiri mpaka ikauke baada ya hapo osha kwa...
  5. Elkana92

    Dawa za kuondoa sumu mwilini zilivyoondoa uhai wa rafiki yangu

    Hawa wauzaji wa hizo dawa pia uwa wanapatkana kwenye mabasi ya abiria. .kikubwa wanachofanya ni kukutajia dalili ambazo ni familiar kwa watu wengi kisha wanakutisha kutokana na izo dalili ukishaingia mkenge unanunua na auponi Nb. Fuata ushaur wa daktari kabla yakuchukua hatua ya kutumia dawa...
  6. Elkana92

    Naomba kuelimishwa kuhusu upimaji Ukimwi

    Kikubwa nenda nae mkapime wote ukiamini vipimo vya kuambiwa utapukutika. .hii dunia sio ya kuamini mtu kwa sasa
  7. Elkana92

    UDOM Admission Letters: Kipi kinaendelea

    asante mkuu kwa taarifa
  8. Elkana92

    2019 Africa Cup of Nations Special Thread

    Wataongeza best losers wanne il itimie 16.
  9. Elkana92

    Msaada

    Naomba kusaidiwa kujua jinsi yakuongeza uzito wa mwili
Back
Top Bottom