Unakuta mwanaume mwenye mindevu yake tena anajenga bifu na mshikaji kisa mwanamke..... hivi hii ni akili au tope kama umetongoza ukakataliwa mwenzio akakubaliwa sasa bifu la nini ulitaka utongozwe ww... wadau em nisaidien kushauri hawa watu jamani wanakeraaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.