Recent content by ELIZAYO LAMU

  1. E

    Tetesi: Walimu watakiwa kuripoti na kusaini kazini kila siku wakati huu wa Corona

    Wakati huu ambapo vyuo na shule zimefungwa kwa muda kama sehemu ya tahadhari dhidi ya CORONA kuna Halmashauri zimetoa agizo walimu wote wawe wanaenda kusaini kazini kila siku asubuhi na kurudi nyumbani ambaye hatafanya hivyo atakuwa mtoro kazini ..! Clients wa mwalimu ni wanafunzi na sababu ya...
  2. E

    GE2020 Naongea na vijana wenzangu

    Nadhani hujaelewa vema
  3. E

    GE2020 Naongea na vijana wenzangu

    N Nakushukru mno
  4. E

    GE2020 Naongea na vijana wenzangu

    Sifanya ubaguzi wa chama nimesema wote unaweza kupitia uone
  5. E

    GE2020 Naongea na vijana wenzangu

    Niliandika makala hii 2017 mnasemaje kuelekea uchaguzi 2020 POLENI SANA VIJANA, MNAKUWA MAJESHI YA MINYUKANO YA KISIASA MWISHO INAKUWA AIBU KWENU. Poleni sana vijana wa ACT - WAZALENDO mliomtukana matusi yote Mh Mbowe kisa mapenzi makubwa mliyonayo kwa Mh Zitto pengine hamkujua wanasiasa...
  6. E

    Nitasimama na Rais Magufuli

    KUMPINGA RAIS JPM NI KUWAKUMBUSHA WATANZANIA MATESO WALIYOPITIA, VITA DHIDI YA UTAWALA WA MAGUFULI NI VITA DHIDI YA MATUMAINI MAPYA YA WATANZANIA. 1. Mtanzania yupi yupo tayari kurejea Tanzania ya watu wachache maalum ambao ni daraja la juu kabisa la mwanadamu ambao Sheria haziwahusu kuua...
  7. E

    Ushauri: Ianzishwe kodi ya Matumizi ya Mitandao ya Kijamii na Matumizi ya Mfuko wa Jimbo yatazamwe upya!

    Barua yangu kwa mh Rais John Pombe Magufuli ELIZAYO PASCAL LAMU S. L. P 100, KASULU - KIGOMA Mobile : +2555766033331 E-mail : lamuelizayo@gmail.com Kwa Mh Rais wa Tanzania, S.L.P 11400, DAR ES SALAAM, TANZANIA. YAH: MAPENDEKEZO NA USHAURI WANGU KWA SERIKALI TUKUFU YA AWAMU YA TANO Mh Rais...
Back
Top Bottom