Yani kaka usiseme wanawake tu Bali inategemea na kichwa cha mtu mimi nilikuwa na boy wangu nilimpenda kichiz na kumshirikisha kila kitu mwisho Wa siku ni kitu kibaya kafanya hapo ni roho ya MTU tu ucseme ni wanawake wapo hivo
Kaka mpk upate hyo insurance uonge sana tu Mimi miligongwa huku nikiwa na mtoto tena kwa uzwmbe wa dereva wa bajaji lkn cha ajabu atujazika mtoto bajaji inapiga kazi na mtuhumiwa anazurura we acha tyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.