Recent content by eliudy josephy naamany

  1. eliudy josephy naamany

    Technician certificate in primary education

    Kwa hiyo ni sawa isije ikawa ni wa mediym
  2. eliudy josephy naamany

    Je inawezekana kuhama chuo na kozi husika

    Habari wana jamii Je kuna uwezekano wa kuhama chuo na kozi husika kwa mfano mtu umechaguliwa ualimu una qualification za kusoma nursing je inawezekana kuhama kama chuo unachotaka kuhamia ni cha serikali
  3. eliudy josephy naamany

    Technician certificate in primary education

    Habari wana javi naomba msaada kuhusiana na koz tatwa hapo juu tuliomba diploma lakini tunakuja kukuta certificate hatujui sasa msaada jaman ni sawa au hii isije kuwa ni ile ya english mediums Nategemea ushaur mzur
  4. eliudy josephy naamany

    Msaada kweli inawezekana kuchaguliwa mara 2 kwenye selection

    Hakuna tatizo kote ni sawa hata mm nimechaguliwa sehemu mbili nasubir uchaguz wa vyuo vya serikali so pote ni sawa tu
  5. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Asante mkuu ila hiyo coz inaruhusu bila physics
  6. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Asante sana brow mungu akubariki
  7. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Nimepangwa arts advance kaka unasababu za kuniambia nisome advance je future ya arts ni ipi
  8. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Nimepangwa arts advance kaka unasababu za kuniambia nisome advance je future ya arts ni ipi
  9. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Niliomba ualimu na phamace sasa nilichaguliwa ualimu ndo nilikuwa na waza kama inawezekana na kusoma phamace
  10. eliudy josephy naamany

    Ushauri juu ya hili

    Habar wana jamii mm nilimaliza kidato cha nne mwaka 2015 na kufaulu masomo haya CIVICS. C HISTORY. C GEOGRAPHY. C ENGLISH. C BIOLOGY. C CHEMISRY. C...
  11. eliudy josephy naamany

    Kuhusu walimu waliodahili diploma in primary school

    Dar hapo tutaajiriwa kweli hata mm nimepata maelezo ya diploma kufutwa
Back
Top Bottom