Rafiki kitu usichokijua si vizur kukisemea vibaya hujaifahamu hii nyumba,wewe si muhitaji hii nyumba ni moja ya nyumba classic na siba haja kuipigia debe inajieleza kwa muhitaji, na haipo uswahilini si tungi hiyo ujuayo wewe hapa si mbali na kwa Msomari sheli.
Kuna mambo mawili unatakiwa uyatofautishe kwanza bitcoin ni kitu kingine na Bitclub ni kitu kingine, yaani Bitcoin ni Pesa ya kidigitali mojawapo ya cryptocurrencies na Bitclub ni Mining Pool Company inayojihusisha na Bitcoin Mining, ipo Asia,Europe na nchi za Africa kuna South...
Deogratius Kisandu ungeomba ushauli mimi ningekupa ushauli mzuri na huenda ungekusaidia sana, kumbuka hivi sasa unasema umechoka kuonewa sasa ni kisasi juu ya kisasi yani bora kuuana kuliko kudhalilishwa hapo inamaana kwamba utapoanza kudemand Revenge ukafanya jampo lolote illegal...
Habari ndungu zangu kwanza niwatakie mapumzika mema ya siku hii ya jumapili tunapouanza mwezi huu wa kumi.
Pili napenda kutoa shukrani za dhati kwa watu wote waliofatilia chapisho langu nililoelezea kuhusu Bitcoin kwa kiasi kiukweli nimepata maswali mengi mengi sana mengine yakiulizwa moja kwa...
Hapana elimu yeyote kubwa unayohitaji ili uweze kuitumia, ila kuna uelewa kiasi tu unaotakiwa kuufahamu na baada ya kuzoea ni jambo la kawaida tu kama vile unapohifadhi pesa Tigo-Pesa au M-Pesa ama unapotuma na kupokea kwa mtu mwingine.
Pole ndungu, ninachokiona kwako uliingia huko ukiwa hukapata elimu ya kutosha juu ya cryptocurrency kwanza ulitakiwa ujue cryptocurrency ni nini na kuna coin ngapi zinazotambulika.
Kuna baadhi ya makampuni yamekua yakitapeli watu kwa kutumia jina la Cryptocurrency na watu wengi hasa watu wa...
Haha..kiongozi wanasema ukitaka kujitangaza usipondee kitu cha mwenzako bali zungumza mazur yako watu wenyewe watajiongeza na kujua yupi ni yupi, sijawahi kusikia Apple wakisema simu zao ni nzuri kuliko Nokia au Sam Sung bali husema ni bora kuliko simu nyingine halafu hawamalizii sentensi, vivyo...
Ukitaka kuanza kufanya trading pia itakubid uwe na kiasi kikubwa walau cha bitcoins ila ukiwa tayar umeifahamu elimu ya Cryptocurrency na ukapata kujua kwa undani kuhusu Bitcoin unaweza kuanza kuuza muda wowote na kwa mtu yeyote hata bila kwenda kwenye site za mauzo na manunuzi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.