Recent content by elishamani

  1. E

    Updates za zoezi la uandikishaji vitambulisho vya kupigia kura kwa Mkoa wa Dar es salaam

    Hawa wanazingua tu mara mashine inauwezo wa kuandikisha watu 100 tu kwa siku
  2. E

    Kinachojiri kutoka Millenium Tower DSM, Kutangazwa mgombea Urais wa UKAWA

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  3. E

    Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa

    Sio kweli hizi ni porojo tu ili kumchafulia tu ila kumbuka huwezi zuia mafuriko kwa mikono
  4. E

    Tutasikia mengi sana urais mwaka huu

    Nimefuraishwa sana leo na mgombea mmoja😃😃 💥Kwanza amejitathimini akaona yeye kwa sifa amewazidi wagombea wote katika nyanja zote. 💥pili anasema ameamua kugombea baada ya timu yake kumpa uhakika kama anakubalika bara na visiwani 💥anagombea pia kwa...
  5. E

    Mabadiliko makubwa ktk falsafa ya siasa Tanzania

    Yeah watanzania wameamka sasa
  6. E

    Ushauri wako wa mhimu

    Sawa mkuu
  7. E

    Ushauri wako wa mhimu

    Bint ameona mbali
  8. E

    Ushauri wako wa mhimu

    Alikuwa anamtishia demu ila kwa dhamila yake hakuwa na kusudi la kujiua
  9. E

    Ushauri wako wa mhimu

    Wadau tumsaidie jamaa kimawazo
  10. E

    Ushauri wako wa mhimu

    Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata...
  11. E

    Kumbe ishu haikua Pengo bali ni Lowassa kuzindua Helikopta ya Gwajima!

    Ukiona nimekutia kichefuchefu nenda kalambe ndimu
Back
Top Bottom