Nimefuraishwa sana leo na mgombea mmoja😃😃
💥Kwanza amejitathimini akaona yeye kwa sifa amewazidi wagombea wote katika nyanja zote.
💥pili anasema ameamua kugombea baada ya timu yake kumpa uhakika kama anakubalika bara na visiwani
💥anagombea pia kwa...
Kijana mmoja alikuwa na mpenzi wake ambaye walipendana sana Kijana alimpenda sana bint na bint alimpenda sana kijana siku zikazidi kwenda Kijana alimuhudumia mpenzi wake kwa kila hitaji alimtunza kama mke naye bint alijitoa kwa moyo wote kwa mpenzi wake katika mapenzi kukwazana hakukosekani hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.