Kijana hiyo 14,000/= ni bei tu ya kulipa wapasuaji na kusafirisha ubao toka porini..bado kuna fedha ya kibali toka mali asili ambapo kibali cha kupasua mbao ni 305,000/= alafu kuna leseni ( kule kugonga mbao) kila ubao ni elfu 14,000/= au zaidi kutokana na size ya mbao,alafu bado kuna gharama za...