Shetan yupo kati yetu, kazi yake kubwa ya kwanza ni kutambua mawazo ya binadam anawaza au anataka kufanya nini, kama unawaza kutenda mema basi hapo atafanya linalowezakana kuvuruga mawazo yako mema, tukumbuke kuwa shetani ni malaika walioasi mbinguni, wakafukuzwa huko, kwa hiyo wana uwezo mkubwa...