Recent content by Elisabella

  1. E

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    RIP KAMANDA!! This is sad!!! Huu ni mcba matusi ya nguon ya nn jaman..toa hoja,maoni au uliza swali!! Na suala la picha plizzz hii ishu sensitive c kila mtu hasa familia itapenda kuona picha ya aina hyo kweny media,,,,huyo ni mtoto wa mtu,kaka,mume na baba wa familia tulifikirie hlo pia,,,picha...
  2. E

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Na boko haram humohumo...ndo maana busara zinahitajika huko zanzibar na sio siasa. Huu uchaguz uwe ni mwanzo wa kutatua kero za katiba na Muungano vinginevyo ipo cku tutakua the new sirya!!!!!!
  3. E

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Ssa hapa wa unatulaumu ss au??? Marais wenu wa ccm ndo wajinga koz wameongoza muungano pande zote mbili kwa miaka kibao na wameshindwa tatua kero za muungano!!!! Na kama hamtak muungano man up, semen ukweli na watu wamove on! Haya mambo ya wazenji kulaumu bara na...
  4. E

    Nani kampa Lowassa Cheo cha 'Kiongozi Mkuu wa UKAWA'?

    Mleta mada ni Kilaza of the highest order! Title yako inauliza ni nani kampa lowassa cheo cha kiongoz mkuu wa ukawa?? Then maelezo yanasema chombo cha habari kiliandika lowassa ni kiongoz wa UKAWA!! Nilidhani lowassa mwenyw ndo kajiita mkuu wa ukawa!!! Vitu...
  5. E

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    This kind of thnking ndo inasababisha wazanzibar kukataa muungano!!! Na si kila suala ni politics, utu na busara vinahijtaka Zanzibar kwa hyo ww unategemea zanzibar kukichafuka bara kutakua salama?? Unadhan wazenji wapo tayar kuumia alone wen the main cause ya tatizo lao ni BARA?!!! Yes...
  6. E

    Mgogoro wafukuta NCCR - Mageuzi

    Kafulila hata bila Mbatia ameshinda ni zengwe kachewzewa kafanya meng jimbon mwake m/kit awepo asiwpo his pipo love him!!!!plus hvi mwenyekti na yy c alikua anagombea na azunguke mara ngap?? JK na Zitto ni wenyevti pia walizunguka nchi nzima??? Heri baba riz alikua rais ila zitto hata mama Anna...
  7. E

    Rais Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi ya Rais na Rais mstaafu Dr. Kikwete

    Hyo report itupiwe humu tusome na ss...haiwezekan ten yiaz na karats ni chache kias hko!!!!! Nahis Either JK na secretary ake wanadonoa donoa while typin au amedit mpk akaamua kedelete pages kabisa
  8. E

    Makamu wa Rais Mama Suluhu,Rais Mstaafu J.Kikwete washiriki msiba wa mjukuu wa Rais Magufuli

    Rest in paradise!!!! Ni mcba bt still picha zimekaa kisiasa zaid!! Mama janet angekua next to JPM na sio JK
  9. E

    Mh Lowassa, Umejitoa au Mbinafsi?

    My point is hutapata jibu la kuridhisha hapa..labda kama lengo lilkua ni kumdiscuss EL ila kama unatafuta jibu la kweli ni yy tu anaweza kukupa!!! Pili swali lako ndo majibu utayopata humu ndani wengine watakuambia msaliti na wengine watasema amejitoa mhanga so at the end of day utakua hujapata...
  10. E

    Sukuma twende ya Makonda ni biashara au uwajibikaji?

    Kweny kampen na watu waliotoa ile michango uwezo wa kutoa walikua nao!! Ila hii ya Makonda kumwambia mwananchi wa hali ya chini ( koz ni mwananchi wa hali ya chini mweny matatzo ndo analegwa hapa). atume meseji c kila mtu ana cm plus hzo namba hapo zina gharama yake ni tofauti na namba za simu...
  11. E

    Rais Dk. John Magufuli kuhamia Dodoma

    I've seen that too...mpk sshv Magufuli anatekeleza ilani ya Ukawa, cjaona akitekeleza ilan ya ccm labda anahis he has somthng to pruv!!
  12. E

    Mh Lowassa, Umejitoa au Mbinafsi?

    HUJAELEWEKA MLETA MADA!!! Unapouliza swali la ubinafsi kwa lowassa kweny social media huwez pata jibu...muulize hapo edward.lowassa1@gmail.com!! Unaposema sema kaiachia fmilia yake dhana ya usaliti are you his son or daughter?? What gives u the right to speak for them??? Inaweza KUA MSALITI...
  13. E

    Amekataliwa na wananchi, Rais anamteua kwa manufaa ya nani?

    Ninamfaham Mwakalebela na sio mtu wa kumlinganisha na those two hapo juu!!.. I hope ths time hatapewa ukuu wa wilaya!! Hii tabia ya mbunge wa ccm akianguka anapewa ukuu wa wilaya au mkoa ndo inasababisha mambo ya siasa yaendelee hadi kweny mashirika ya umma na halmashauri
  14. E

    Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

    Sorry cdhan kama mtu anatakiwa apewe uspika sababu ya uafadhali wake that slowslow guy is ccm-maslah to his bones!!! HAFAI USPIKA labda awe msaidiz wa cheo cha Nape or Mrithi
  15. E

    Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

    Basi umewashusha vyeo wengi nakumbuka ukumbi mzima ulimwimbia lowassa
Back
Top Bottom