Pole sana kwa mtazamo wako! Anachokipitia ZZK kinamkomaza mno na ipo siku wasaliti mtaonekana tu! Naikumbuka NCCR Mrema alimwita Marando msaliti ila leo Mrema ndio ccm b! Go on ZZK towards the real democracy
Atawamaliza tu huyu jamaa! fukuza fukuza bila sababu haitasaidia chama! Leo chama kimepata Miungu watu wanaoabudiwa na VIJANA WENYE NJAA za ubunge! Ukiona mtu unapoteza fikra zako kisa chans za ubunge na udiwan jua uwezo wako wa kufikili ni mdogo kuliko! Leo BAVICHA limekuwa genge la watafta...
We unadhani kila akosoaye ni ccm! hilo ndo tatizo la chadema! tunataka tusifiwe tu kwa kila kitu hatutaki kukosolewa! unaujua ushiriki wa Wenje kwenye migogoro ya chama jimbon kwake? hana analowaza zaid ya ubunge 2015! Na safar hii labda awe mbunge wa Rorya
Hana lolote na ni mmoja ya watu walioyasaliti matumaini ya wana Mwanza! Badala ya kulinda maslahi ya wana mwanza yeye yupo busy dsm akifanya kaz kama kibaraka wa dr Slaa! Hata wana mwanza hatumpi tena nafas uchaguz ujao!
Nataman 2015 ifike mapema ili watu watukome WASUKUMA! wamepandikiza mamluki ya kichaga kila sehem! Na safar hii hatutaruhusu kurudia mskosa! SUKUMALAND FOR SUKUMA ONLY 2015! haiwezekan kila siku SHIBUDA, ZITTO! kwa lip? mbona nassari aliyejitangazia kajamhuri ka kihuni huko kwao hawamsemi? Kwa...
Nataman 2015 ifike mapema ili watu watukome WASUKUMA! wamepandikiza mamluki ya kichaga kila sehem! Na safar hii hatutaruhusu kurudia mskosa! SUKUMALAND FOR SUKUMA ONLY 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.