Recent content by ELIAS SIMON

  1. E

    Haya Maneno ya Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla khs Zitto Kabwe ni Utabiri ama Mpango Mkakati?

    Pole sana kwa mtazamo wako! Anachokipitia ZZK kinamkomaza mno na ipo siku wasaliti mtaonekana tu! Naikumbuka NCCR Mrema alimwita Marando msaliti ila leo Mrema ndio ccm b! Go on ZZK towards the real democracy
  2. E

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mara ang'olewa. Mbowe aendesha kikao cha kumng'oa

    Atawamaliza tu huyu jamaa! fukuza fukuza bila sababu haitasaidia chama! Leo chama kimepata Miungu watu wanaoabudiwa na VIJANA WENYE NJAA za ubunge! Ukiona mtu unapoteza fikra zako kisa chans za ubunge na udiwan jua uwezo wako wa kufikili ni mdogo kuliko! Leo BAVICHA limekuwa genge la watafta...
  3. E

    Ezekiel Wenje ndani ya dakika 45 kesho usiku Jumatatu

    We unadhani kila akosoaye ni ccm! hilo ndo tatizo la chadema! tunataka tusifiwe tu kwa kila kitu hatutaki kukosolewa! unaujua ushiriki wa Wenje kwenye migogoro ya chama jimbon kwake? hana analowaza zaid ya ubunge 2015! Na safar hii labda awe mbunge wa Rorya
  4. E

    Ezekiel Wenje ndani ya dakika 45 kesho usiku Jumatatu

    Hana lolote na ni mmoja ya watu walioyasaliti matumaini ya wana Mwanza! Badala ya kulinda maslahi ya wana mwanza yeye yupo busy dsm akifanya kaz kama kibaraka wa dr Slaa! Hata wana mwanza hatumpi tena nafas uchaguz ujao!
  5. E

    Shibuda atimuliwa kikaoni CHADEMA; Apigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye!

    Nataman 2015 ifike mapema ili watu watukome WASUKUMA! wamepandikiza mamluki ya kichaga kila sehem! Na safar hii hatutaruhusu kurudia mskosa! SUKUMALAND FOR SUKUMA ONLY 2015! haiwezekan kila siku SHIBUDA, ZITTO! kwa lip? mbona nassari aliyejitangazia kajamhuri ka kihuni huko kwao hawamsemi? Kwa...
  6. E

    Shibuda atimuliwa kikaoni CHADEMA; Apigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye!

    Nataman 2015 ifike mapema ili watu watukome WASUKUMA! wamepandikiza mamluki ya kichaga kila sehem! Na safar hii hatutaruhusu kurudia mskosa! SUKUMALAND FOR SUKUMA ONLY 2015
  7. E

    udsm udsm maina campus kitanda

    Vp bado unacho mkuu?
  8. E

    Natafuta chumba mabibo hosteli!

    Mwenye nacho mazee anichek tufanye biashara fasta
  9. E

    Natafuta chumba mabibo hosteli!

    Toa contact nikuchek mkubwa au nichek kwenye namba hapo juu
  10. E

    Natafuta chumba mabibo hosteli!

    Toa contact nikuchek kaka
  11. E

    Dah!..kweli kutongoza habari nyingine..

    Mwana umetisha mbaya! Nimeikubal version yako mpya
  12. E

    Natafuta chumba mabibo hosteli!

    Mwenye chumba anauza au anibebe jaman hapa mabibo hostel anistue kwenye 0752485142
  13. E

    Natafuta room Mabibo Hostel

    Aliye na chumba kingine mabibo cha kununua au kunibeba anistue jaman 0752485142
Back
Top Bottom