Hiyo ilikuwa MBINU ya Trump na Chama chake kupata mvuto. Haiwezekani risasi iparaze sikio na shavu, MBINU ya kumpunguza Biden makali ya kampeni. Trump mwenyewe alikodi wahuni wakaingia Ikulu kwa kuruka ukuta, Trump hayuko sawa kichwani.
Quran 5 21, Quran 17:104, Quran 26:5 zote Allah anasema nchi iliyokuwa inamilikiwa na Mashujaa makafiri Makanaani aliwapa Waisrael wakae, Sasa wewe uko kinyume na Allah ambaye kwenye Aya hizo anawaita Waisrael waja wake.
Yohana 1:17 Torati ilikuwa kwa mkono wa Musa, Neema na kweli kwa mkono wa Yesu. Musa kaja na sheria za jino kwa jino, Yesu sheria za upatanisho, maagano mawili tofauti.
Kinachoendelea Gaza ni kutimia tu kwa utabiri wa Nabii Amos 1:7. Mungu kupitia kinywa Cha Nabii Amos 1:7 alisema: "Nitapeleka moto kwenye Kuta za Gaza. Haya tunayaona yanatimia, Kuta za Gaza zinawaka moto. Madhambi ya Hamas 0ctober 7 yamepelekea Kuta za Gaza kiwaka moto, siyo uwezo wa Netanyahu...
Utabiri wa Amos 1:6 kuwa Kuta za Gaza zitawaka moto unatimia, Hamas walichokoza kitu wasichokimudu, sawa na Taiwan kuivamia China wakati wanajua kitakachowakuta.
Utabiri wa Ezekiel sura ya 38 unatimia. Gog Yaani Urusi watajiunga na Magogu Yaani Iran kuivamia Israel, hapo ndio utukufu wa Bwana Mungu kwa watu wake Israel utakapoonekana . Hizi ni dalili tu unabii utatimia Iran na washirina wake hawataweza.
Kwani Simba walichukua point ngapi kwa Yanga mwaka huu? Simba si waliambulia point moja, Yanga akachukua 4? Au nimekosea? Kama Yanga alichukuacpoint 4 na Simba 1 tu, sasa mtoa post anatumia kiungo gani kufikiri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.