Mm ni kijana ambaye npo chuo certificate semister 2 kozi ya uhasibu wakati npo semister 1 nilikua nasoma masomo 5 ambayo ni math,acc,business eng,office n computer ila kwa bahati nzuri niliperform vizuri ila isipokuwa somo 1 tu ambalo ni computer nilipata F nikaingia semister 2 huku nikiwa...
habare zenu wakubwa heshima kwenu mm ni kijana ambae niko certificate course ya accountancy ktk chuo cha utumishi wa umma nahitaji kufahamishwa kuhusu ni GPA gn nzuri ambayo mwanafunzi anatakiwa kuipata na kwa mfano mtu akitaka kuhama chuo kwenda chuo kingine ni GPA gn ambayo wanazingatia...
Habare zenu mm ni kijana ambae npo chuo ngazi ya chet wakubwa heshima kwenu wadogo wenzangu mambo vp naombeni ukweli kuhusu hili eti unapomaliza diploma unapotaka kujiunga na bachelor unapotaka kuapply chuo kwa ajili ya degree eti kipi kina matter sanaa ni matukio ya diploma peke yke au matokeo...
Mimi ni kijana ambaye napenda sana watoto wazuri sema tatizo kuna baadhi ya mademu wao wanajifanya wana pozi sanaa yaani in short wana mashauzi ile mbaya.
Swali: je ni sawa mimi kujifanya mpole ili nimpate nifanye yangu then nimteme au? Maana ana mashauzi sana mpaka anaboa yaani.
Habari ndugu zangu mimi ni kijana ambaye nko chuo kuna msichana mmoja hivi nimetokea kumpenda sanaa nilijaribu kumwambia akaniambia nimechelewa coz tayari ana mtu wake nikajitahidi kumbembeleza bahati nzuri akanielewa so tukawa in relationship.
Sasa cha ajabu huyu msichana amekuwa kimya sana...
Hallow guys wakubwa shikamooni wadogo mambo vipi well mimi ni kijana wa kiume nipo chuo sasa kuna msichana nilikua nampenda since naingia pale chuoni nipo nae class moja but ilikua vigumu kumwambia.
Kutokana na nilihisi kama hawezi kunielewa hivi so nilijaribu kuwaambia washikaji juu ya hili...
hi every body mm ni kijana ambae najikubali kuwa ni bonge la hand some boy kuna binti nampenda sana anaitwa irene huyu binti nimekutana nae facebook kwa bahati nzuri aliweka namba yke facebook nikaamua kuichukua then kumpigia wow alipokea na kuniuliza mm nani nikamjibu elias nilipomjibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.