Recent content by Eliamini

  1. Eliamini

    Nani kafanikiwa kuomba usajili au namba ya NHIF kupitia mfumo wao mpya wa NHIF Self Service?

    Kabla ya kufanya maombi ya NHIF lazima ufanye verification ya cheti/vyeti ambavyo vinatolewa na Rita na gharama yake ni Tsh 6,000. Hata kama cheti kimetoka leo lazima ukifanyie verification na pale kwenye system kuna sehemu pakuonesha cheti kinaenda kutumika taasisi gani so utachagua NHIF...
  2. Eliamini

    Jonathan Sowah Ndiye Mshambuliaji Hatari Zaidi NBC

    Hao kina Dube,Mnzinze na Ahoua walikutana na mabeki gani kufunga hizo goli walizonazonkwenye NBC. Ushabiki wa Simba na Yanga hauna tofauti na Mental Disorder aisee
  3. Eliamini

    Mwamposa: Nuru imeingia kwenye mpira wa nchi hii, ushirikina lazima ufe

    Waza pia wakashindwa kufuzu itakuaje
  4. Eliamini

    Serikali yawaita mezani TFF, TPLB, Yanga na Simba kutafuta suluhu ya Dabi

    Uwezo wanao sana kumbuka FIFA hairuhusu serikali kuingilia mamlaka ya mpira
  5. Eliamini

    Nyuma ya pazia yanayoendelea sakata la Match ya Derby kuahirishwa

    Kuokoa mpira wetu ni kufuata kanuni za mpira zilizowekwa na mamlaka za mpira na kuacha ujinga unaoitwa Busara, Bahati mbaya sana Maamlaka za mpira zimekua butu kwenye ishu ya Simba na Yanga. Hapakua na kanuni inayoamrisha kughairisha Derby ya tar 8 kisa timu mwenyeji kazuiliwa kufanya mazoezi
  6. Eliamini

    Waislamu nijibuni maswali haya kuhusu Iftari

    Ok ngoja nikujibu kama ifuatavyo: Lengo la kufuturisha ni kuwawezesha wale wote wasiokua na uwezo wa kupata futari pindi muda wa kufungulia unapofika hili ndo lengo kuu la Dini. Lakini haya unayoyaona yanayoendelea ni utashi wa binadamu wa kupewa akili ya kuchagua jambo gani afanye na jambo gani...
  7. Eliamini

    Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

    Hata Arajiga Simba hawampendi uwanjani amenyooka sana
  8. Eliamini

    Mashabiki wa utopolo wanajitahidi sana kumsagia kunguni Elie Mpanzu ili waokote dodo

    Sawa ni kweli walisema hivyo turudi kwenye uhakisia kati ya hao wote ni nani amewahi kua chagua la kwanza kwenye kikosi Cha kwanza Cha Gonga wazi. Kusema hawaingii kikosi Cha kwanza ni ishu nyingine na jusajiliwa pia ni ishu nyingine
  9. Eliamini

    Mzize kuvunja record ya usajili Kwa wachezaji wa kitanzania

    Micky Jr kapost hii habari ya Mzize kutakiwa na club ya Libya kwa hela nyingi
  10. Eliamini

    Ili Yanga Game ya Mwisho Ashinde Goli 3 Na Mc Alger

    Endelea kuota shida kubwa tunaongozwa na hisia za ushabiki wa Simba na Yanga tunasahau kuupa heshima mpira yaani mechi haijachezwa ila tayari tuna matokeo🤣
  11. Eliamini

    Yanga atashika mkia kwenye kundi lao, ni kibonde wa kundi

    Tunashukuru kua umekiri timu zote kwenye kundi ni timu nzuri sana kwa maana hiyo Yanga ndie mbovu, usije kukengeuka baadae useme Yanga kakutana na timu zishajichokea
Back
Top Bottom