Kabla ya kufanya maombi ya NHIF lazima ufanye verification ya cheti/vyeti ambavyo vinatolewa na Rita na gharama yake ni Tsh 6,000. Hata kama cheti kimetoka leo lazima ukifanyie verification na pale kwenye system kuna sehemu pakuonesha cheti kinaenda kutumika taasisi gani so utachagua NHIF...
Hao kina Dube,Mnzinze na Ahoua walikutana na mabeki gani kufunga hizo goli walizonazonkwenye NBC. Ushabiki wa Simba na Yanga hauna tofauti na Mental Disorder aisee
Kuokoa mpira wetu ni kufuata kanuni za mpira zilizowekwa na mamlaka za mpira na kuacha ujinga unaoitwa Busara, Bahati mbaya sana Maamlaka za mpira zimekua butu kwenye ishu ya Simba na Yanga. Hapakua na kanuni inayoamrisha kughairisha Derby ya tar 8 kisa timu mwenyeji kazuiliwa kufanya mazoezi
Ok ngoja nikujibu kama ifuatavyo:
Lengo la kufuturisha ni kuwawezesha wale wote wasiokua na uwezo wa kupata futari pindi muda wa kufungulia unapofika hili ndo lengo kuu la Dini. Lakini haya unayoyaona yanayoendelea ni utashi wa binadamu wa kupewa akili ya kuchagua jambo gani afanye na jambo gani...
Sawa ni kweli walisema hivyo turudi kwenye uhakisia kati ya hao wote ni nani amewahi kua chagua la kwanza kwenye kikosi Cha kwanza Cha Gonga wazi. Kusema hawaingii kikosi Cha kwanza ni ishu nyingine na jusajiliwa pia ni ishu nyingine
Endelea kuota shida kubwa tunaongozwa na hisia za ushabiki wa Simba na Yanga tunasahau kuupa heshima mpira yaani mechi haijachezwa ila tayari tuna matokeo🤣
Tunashukuru kua umekiri timu zote kwenye kundi ni timu nzuri sana kwa maana hiyo Yanga ndie mbovu, usije kukengeuka baadae useme Yanga kakutana na timu zishajichokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.