Recent content by ElevateYourLife

  1. E

    Safari ya Rais Samia nchini Marekani; Wajuaji vs Balozi Togolani Mavura

    Natumaini comment za wadau wapingaji kwenye hii thread wananogesha mada tu . Ila kama mko serious ni tatizo kubwa sana kwenu.
  2. E

    Kiingereza cha Rais Samia

    Maxence Melo mkuu hizi akaunti zinatakiwa ziwe na status ya new member muda wote tu. Verified member na Yuko na status ya Platinum member akiposti ujinga kama huu anafanya jf iwe kama FB ya kina Nasra Juma. Mbona whites wakikosea kuongea kiswahili mnawasifia. Ukosoaji uliofanya usingehusisha...
  3. E

    Mama kamwaga ajira, mmeona?

    Ngoja tujaribu kuomba tu hamna namna
  4. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa hiyo odds 1500+ stake ianzie ngapi mkuu?
  5. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante sana. Katika over Kwa mikeka niliyoweka toka juzi naona over QT2 na QT3 zinatoa sana. Pia over HT. Comment yako hapa mkuu
  6. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Option zipi unatumia sana mkuu
  7. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana nimemkosa kidogo sana kwa basketball ya NBA kulikuwa na mechi 15 jana
  8. E

    Swali kuhusu ajira za ualimu

    Asante sana mkuu. Nisilaze damu
  9. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mpaka nikajipa matumaini kwamba labda jana nilishinda mkeka ndo maana haifanyi kazi. Mkeka wangu niliweka mechi za basketball sijauona bado
  10. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona leo website Yao haitaki kabisa
  11. E

    Swali kuhusu ajira za ualimu

    Asante sana mkuu. Naomba kuuliza pia range ya muda wa kufanya application kawaida ni siku ngapi. Nataka nikafuatilie cheti kesho
  12. E

    Swali kuhusu ajira za ualimu

    Naomba kujuzwa na wazoefu hivi kuna uwezekano wa ajira zitakazotangazwa hivi karibuni kupangiwa tu vituo bila kufanya application?
  13. E

    Ajaira ajira ajira

    ACHA BHANGE NANIII
  14. E

    Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe

    Na kuna wale wa #katibampya wanalaumu hao TISS kwamba wamemuonea huyo kijana hata bila kujua upande ulifanya hivyo kwa sababu ipi. Mnataka katiba mpya and still mnahukumu kwa kusikiliza upande mmoja?
Back
Top Bottom