Maxence Melo mkuu hizi akaunti zinatakiwa ziwe na status ya new member muda wote tu. Verified member na Yuko na status ya Platinum member akiposti ujinga kama huu anafanya jf iwe kama FB ya kina Nasra Juma.
Mbona whites wakikosea kuongea kiswahili mnawasifia.
Ukosoaji uliofanya usingehusisha...
Na kuna wale wa #katibampya wanalaumu hao TISS kwamba wamemuonea huyo kijana hata bila kujua upande ulifanya hivyo kwa sababu ipi.
Mnataka katiba mpya and still mnahukumu kwa kusikiliza upande mmoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.