Recent content by elephant1

  1. elephant1

    Abood bado hawajabadilika hadi sasa

    Wanafika bukoba. Karagwe yako mengine unamlazimisha wakati mali yake. Kweli mbumbu wako wengi.
  2. elephant1

    Abood bado hawajabadilika hadi sasa

    Taarifa muko kundi mnaotumika kibiashara kuandika taarifa za kuchafua.mimi nilifwatwa niandike nilikataa ndio maana mnaandika mnalipwa niliahidiwa laki 5 kama ntakuwa naandika kuchafua nikamwogopa mungu.
  3. elephant1

    Rashid Shangazi(MB): Niliambiwa nitoe US Dollar 1500 ili nipewe PhD ya Heshima

    Kapata wasiwasi Mbilinyi asijepata PhD akaitwa DR.
  4. elephant1

    Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

    PhD ziko 3 moja wapo ya heshima . Wenye PhD za kuandika na tafiti ukifwatilia asilimia 50% feki za kusaidiwa kuandikiwa au kupasishwa leo wakiambiwa wafanye tena mitihani na kuandika tena tafiti ni 0%. Kwa hiyo waliopata ya heshima wamepata kinachowauma nini ?
  5. elephant1

    Watu wapewe PhD kulingana na mambo waliyoifanyia nchi, si makaratasi mliosomea madarasani

    Hiyo ni PhD ya heshima kwa jambo ulofanya kwa aina nyingi kwa vitendo . Nadhani mkisikiliza waziri amefafanua PhD ziko Aina 3 . Sasa hii ya Heshima sio ya kuombea ajira wala sio inakupa maslahi yeyote ni kutambua mchango wako katika mambo mbali mbali ipo ya kijamii zaidi. Sasa kipi...
  6. elephant1

    Mbunge Abood atunukiwa Shahada ya Udaktari (PhD)

    Si halali kwako kwa wanaotambua mchango wake ndio kapewa sasa nyamaza uangalie familia yako .kwani hicho cheti kitamfanya ashibe. Always lazy minds discuss people . Wewe kapata hakupata inakupa shida gani .
  7. elephant1

    Mbunge Abood atunukiwa Shahada ya Udaktari (PhD)

    Ukiwa una ufinyu na uvivu wa fikra na kujitafakari ili nawe upige hatua utabaki kumsema aliyefanikiwa .
Back
Top Bottom