Recent content by Eleine

  1. E

    Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!

    Pole dada kwa yaliyokukuta.
  2. E

    Nimechanganyikiwa.

    Asante sana kwa ushauri wako.
  3. E

    Nimechanganyikiwa.

    Ni wewe ndio unasema hivi? Mbona mwanzo ulinishauri vema? Thanks anyway.
  4. E

    Nimechanganyikiwa.

    Nashukuru sana kwa ushauri wako.
  5. E

    Nimechanganyikiwa.

    Kwa ushauri niliopata humu MMU, siwezi kunywa sumu ya panya. Nimepata nguvu ya kusonga mbele.
  6. E

    Nimechanganyikiwa.

    Asante. Nishauri tu.
  7. E

    Nimechanganyikiwa.

    Asante sana MwaJ.
  8. E

    Nimechanganyikiwa.

    Miaka 35 bado ni mtoto kweli?
  9. E

    Nimechanganyikiwa.

    Asante dear.
  10. E

    Nimechanganyikiwa.

    Ni kweli inauma sana. Ukizingatia niliwakataa wanaume wengi sana nikiamini yeye ndio wangu wa kufa na kuzikana. Nimemwachia Mungu.
  11. E

    Nimechanganyikiwa.

    Nashukuru sana kwa ushauri wako.
  12. E

    Nimechanganyikiwa.

    Ukisoma vizuri muda gani nilipost hiyo thread, utaelewa ni kwa nini nilisema usingizi hauji.
  13. E

    Nimechanganyikiwa.

    Ni kweli kabisa.
  14. E

    Nimechanganyikiwa.

    Ni kweli, hatukuwahi kulizungumza kwa mapana maana yeye mwanaume alionyesha kwake halikuwa ni tatizo kabisa. Leo baada ya kupata hiyo meseji kazi ofisini hazikufanyika kabisa. Sikuwahi kupata maumivu makali kama niliyoyapata leo.
  15. E

    Nimechanganyikiwa.

    Umenichekesha na hizo kilo za kiroba cha unga. Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
Back
Top Bottom