Recent content by eladimasale

  1. E

    Shule 20 maarufu Kilimanjaro miaka ya 1980 mpaka 1995

    Kweli mkuu, kulikuwa na michezo ya mabweni, kulikuwa na mashairi, ngonjera, kwaya, ngoma nk, hii michezo ilisaidia sana kuibua vipaji mbalimbali na naamini wengine ndio imekuwa career zao kwenye maisha.
  2. E

    Shule 20 maarufu Kilimanjaro miaka ya 1980 mpaka 1995

    Vimwalu naona jina limenitoka mkuu, we ulimaliza mwaka gani pale? Shule ya mawenzi ilikuwa na standard ya juu sana
  3. E

    Shule 20 maarufu Kilimanjaro miaka ya 1980 mpaka 1995

    Haswa, mwalimu sango alikuwaga naweka nywele zake way, anajipenda vibaya sana. Enzi hizo tunalima ulezi, kulikuwepo pia mwalimu ringo ( mwalimu wa siasa) alikuwaga sijui mjumbe wa nec ccm
  4. E

    Shule 20 maarufu Kilimanjaro miaka ya 1980 mpaka 1995

    Rose nyalusi naye mjua mimi ni mfupi mweusi, tulimaliza naye form four hapohapo mawenzi 1989; kumbe alirudi tena kufundisha hapo
  5. E

    Albert Einstein: Kutoka kuwa kilaza darasani hadi kuwa nguli wa fizikia

    Formal education imepoteza sana vipaji vya wasomi wetu, nafasi ya kuwaza na kubuni hamna kabisa.
  6. E

    Habari ya wanandoa kutumiwa picha za ngono ni uongo

    Something is wrong, 1. Clouds wamhoji shoga 2. Mkuu wa mkoa dsm apiga marufuku mashoga 3. Serikali yapiga marufuku uuingizaji nchini wa mafuta ya mashoga 4. Picha za bibi harusi aliyekuwa akifanyiwa mchezo mchafu zatumwa kwa bwana harusi. Je kwanini yote haya ndani ya muda mfupi? Kuna campaign...
  7. E

    Jose Mourinho: No way, I will resign

    tatizo kubwa la mourinyo ni kutafuta watu wa kutupia lawama timu inapofanya vibaya matokeo yake akifungwa mechi kadhaa tayari anakuwa ashatengeneza maadui kadhaa kwenye timu anasahau kuwa no matter timu imeshinda au kushindwa lazima siku zote timu isimame pamoja
Back
Top Bottom