Recent content by el_magnefico

  1. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Watanganyika wote wazalendo, naomba tuishitaki Serikali ya CCM katika mahakama ya ICC tumia link hii

    Muache kuwafanya watu kama wapumbavu kama kuna fedha mnalipwa mtushirikishe. Ni kweli serikali kuna sehemu inakosea ila tangu internet imerudi sijaona washenzi kati yenu wanakemea vitendo vya wizi na uharibifu kwa raia wa kawaida zaidi ya kuendeleza upuuzi wenu na ajenda zenu za kipuuzi na...
  2. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

    Tumepita hapo enzi za Kisongo. Nilikuwa nasubiri post hii
  3. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Suala la PEPMIS: Serikali ikae chini ikatafakari upya

    Naona beef lake basi limeisha sasa tuanze kudai mishahara yetu.
  4. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Suala la PEPMIS: Serikali ikae chini ikatafakari upya

    Ndugu, hilo swala la ku"submit" nalijua na ninafanya kila mara na afisa utumishi ameona yeye mwenyewe kuwa tatizo halipo kwangu. Najua na naelewa ninachokisema.
  5. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Suala la PEPMIS: Serikali ikae chini ikatafakari upya

    Huu mfumo umenizuia nikose mshahara mwezi wa tatu na sababu unazopewa jaza subtasks sasa sijui ni mtu gani asiyejitambua kwa mwezi wa tatu awe hajajaza hizo vitu zao kama wanavyotaka.
  6. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Julai 2024 watumishi watakuwa busy kujaza PEPMIS. Mnaotaka huduma ofisi za umma kazi mnayo

    Kuna muda inabidi utafakari sana mambo ya hii nchi inaweza isiwe shida mfumo bali wanaosimamia mfumo. Huu ni mwezi wa tatu sasa watu hatupokei mshahara na tunajaza majukumu yetu kama utaratibu unavyotaka ila ukienda kwa afisa utumishi anakwambia upandishe majukumu ndio mishahara...
  7. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Hatimaye jana nimelipwa mshahara wa Machi na Aprili baada ya kufanyiwa ukatili na PEPMIS

    Sisi huu ni mwezi wa tatu, mtu anakuuliza unaishije sasa?
  8. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Kuna app nyingine za kuingiza pesa kupitia survey zao online kama “Pramise”?

    Geopoll ila wao ni muda wa maongezi tu.
  9. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada juu ya tararibu za kufuata na hatua zakufunga ndoa na raia wa kigeni

    Nafahamu hilo la katibu tawala wilaya kama mfungisha ndoa ila nataka kujua upande wa mwanamke je ni vibali gani anatakiwa awe navyo kabla ya kufunga ukiachana na vibali vya kuishi nchini(ambavyo anavyo).
  10. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada juu ya tararibu za kufuata na hatua zakufunga ndoa na raia wa kigeni

    Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi afuate ili aweze kufunga naye ndoa ya kiserikali.
  11. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Mishahara imetoka ila kwa watumishi wa serikali kuu bado na mwingine alisema hadi wa mashirika.
  12. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Nimesikia kwa watumishi wa serikali kuu bado.
  13. el_magnefico

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mwili kuwasha/kuchomachoma ukipata joto

    Hapana hatukuwahi kutumia dawa
Back
Top Bottom