Recent content by EL Team 2015

  1. EL Team 2015

    Uchumi wa viwanda

    Ndugu ,Watanzania baada ya shughuli nyingi za kisiasa ni muda muafaka sasa kwa sisi kwa umoja wetu kurudi na kuendelea kufanya kazi ili kuimarisha uchumi wetu. Uchumi wetu kwa maana ya MTU mmoja mmoja na kaya kwa ujula wake . Uchumi imara utatupa nguvu ya kimaamuzi na maendeleo ya kisiasa na...
  2. EL Team 2015

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    * MWASISI WA TANU/CCM, MZEE KIGUNGE ATEMA CHECHE * AJIVUA UANACHAMA WA CCM * ASEMA CCM IMEBINAFSISHWA Anasema kamati kuu haiwezi kusema watu watano au sita ni hawa bila kuwasikiliza, kilichotokea mwaka huu ni tofauti kabisa kilichotokea mwaka 1995, safari mwenyekiti ni Jakaya Kikwete...
  3. EL Team 2015

    Ukawa wanasa mtego wa CCM

    Funguka vizuri unamaanisha nn
  4. EL Team 2015

    Taarifa za Habari leo zatawaliwa na wananchi maelfu kuhama toka CCM kwenda CHADEMA

    Baada ya lowasa kuondoka hali ni Mbaya sana kila uchao wanachama wanaondoka. Jana tu taarifa za habari zinaonyesha mahesabu ya wanachama zaidi ya 1200 hizi ni kura zinapungua. Na kuna taarifa kwamba wapo baadhi ya vigogo wengine wataendelea kuhama hii inaonyesha nyakati za Maamuzi Magumu...
  5. EL Team 2015

    DAY 2: Updates za mgomo wa madereva wa magari Tanzania - Mei 5, 2015

    Nipo kwa Chakito asubuhi hii toka A town natua bongo natoa wito kwa wahusika kukubaliana mapema kupunguza usumbufu kwa abiria Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania
  6. EL Team 2015

    Wananchi zaidi ya 10000 wa Arusha na mikoa ya karibu kumiminika Munduli

    Hizo ni siasa uchwara za kumchafua Mh.Lowasa ila nakuhakikishia wapinzani wa Mzee hawalali wanajua ana nguvu ,anakubalika ana maamuzi magumu. Ukombozi wa pili unahitajika hakuna kusita simama uhesabiwe.
  7. EL Team 2015

    Kumekucha: Tathmini ya Adhabu ya Akina EL na BM Haina Ukomo

    Kama kweli tunahitaji Rais basi ni mwenye ujasiri wa kusimama na kuutetea Urais anaoutaka mapema tu. Hatuwezi kuhitaji Rais ambae yeye mwenyewe anauogopa huo Urais ndio maana ukiangalia utakuta kwamba bado tunahitaji mtu mwenye maamuzi magumu asiye legelege, mwenye kusimamia jambo mpaka mwisho...
  8. EL Team 2015

    Kumekucha: Tathmini ya Adhabu ya Akina EL na BM Haina Ukomo

    Mbinu za namna hii sio nzuri ukizingatia kwamba mnataka ushindi kwenye kinyang'anyiro kikubwa ni kifanya maamuzi ya haraka ili waliofungiwa wajue hatma yao democrasia bado ni kitu muhimu kwenye chama. Huwezi kimfunga mtu halafu wakati wa kumwachia ukazungumzia kuchunguza kifungo ulichompa hapo...
  9. EL Team 2015

    Rais ajae ana kazi,hivyo lazima awe na maamuzi magumu

    Hapo mtoa mada umenena kuna changamoto nyingi zinahitaji kufanyiwa kazi la sivyo taifa litayumba mno na kupoteza uelekeo
  10. EL Team 2015

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Hapo umenena ni kweli taifa linamuhitaji kiongozi shupavu mwenye uthubutu na sifa kama zifuatazo TAFITI ZAONYESHA WAZIWAZI SABABU 5 ZA LOWASSA KUWA RAIS WA AWAMU YA 5 MUHIMU SANA Wakati joto la Urais likizidi kupanda ndani ya CCM,Nyota ya mmoja wa wanaotajwa kugombea Edward Ngoyai Lowassa...
  11. EL Team 2015

    CCM yaamua kumng`oa Selasini jimbo la Rombo

    Ni kweli pale kuna eneo toka huku mwika madukani ukifika kirimeni shuka mpaka huko mahida, mteri huko maji ni ya shida sana ila kuna miundombinu ya siku nyingi tu sema uvivu wa viongozi wameshindwa kufuatilia ili maji yatoke. Pale pia kuna diwani wa eneo hilo Sijui wanafanya nn hawa watu Ni...
  12. EL Team 2015

    Walimu Mkoa wa Arusha Wamtaka Lowassa Agombee Urais

    Mh.lowasa anazungumzia Elimu,elimu, elimu hapa ni kwamba lazima udeal na waalimu maana wao ndio key player kwenye hilo na si vinginevyo. Na wala hajawahi Lowasa kuwabeza waalimu hata siku moja na anawaheshimu na kuwapenda sana
  13. EL Team 2015

    Walimu Mkoa wa Arusha Wamtaka Lowassa Agombee Urais

    Hao waalimu wamechagua fungu jema maana ktk wote wanaotaka kiti yy ndio haswa mwenye sifa za msingi na ikumbukwe kwamba waalimu ni kundi maalum ktk jamii
  14. EL Team 2015

    Jamani nimeamua kuokoka

    Amen maamuzi mazuri
  15. EL Team 2015

    Airport Dar kuvuja maji wakati wa Mvua, Mwakyembe anataka kutwambia nini?

    Hapa kuna watu wanatakiwa kuwajibishwa sio hivi hivi tu na ndipo tunapohitimisha kwa kumuhitaji mtu Mwenye maamuzi magumu ambaye ni Mh.Lowasa pekee
Back
Top Bottom