wewe ni mjinga saana au ulitumbuliwa, huwezi ukamsema vibaya hivo magufuli. magufuli alitenda haki, tunamlilia hadi leo wewe mwenyewe unaona ametutoka mwamba mambo yameharibika kishenzi maisha ni magumu kwa watu afu wewe unaongea ushenzi gani huo
Historia inasema kuwa binadamu wa kwanza alianza kuonekana hapa Tanzania huko Arusha laitoria na kuna nyayo ambazo utafiti unaonesha ni miaka milioni 4 sasa tangu kuwepo kwa binadamu.
Lakini kalenda tuliyonayo kwasasa hesabu yake inasema ni miaka 2000, sasa je hii inakaaje?
bashiru ameamua kuwaasa watanzania kuacha hiyo tabia lakini hata hivyo ni heri basi tuwasifu kwa kuuona ukweli wao na utendaji kazi wao kwa wananchi lakini sasa viongozi hawa wamekuwa wa kununua magari tu kufanya anasa nchi za nje na kula na kunywa akirudi nchini tunampokea kwa shangwe na sifa...
Watanzania wengi hasa masikini wamekuwa watu woga sana kumkosoa tajiri au viongozi wa nchi pale wanapoonekana kufanya mambo ya ovyo badala yake wanakuwa watu wa kupewa sifa njema tu.
Kwakweli mwenendo huu ni mbaya sana matokeo yake nikukuta baadhi ya watanzania wanalala njaa na wengine wanakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.