KATIBA
Ukomo wa vipindi vya kuongoza ni suala la Katiba.
Katiba ni ya Watanzania; pia inaweza kufanyiwa marekebisho au kubadilishwa kabisa iwapo Watanzania wataamua.
Kama Watanzania wakiamua kuongeza muda wa Rais kuongoza Nchi yao nani atawazuia kufanya hivyo?
UKWELI UTABAKI UKWELI
Atakayetaka kupinga apinge; ukweli ni kwamba JPM anachapa kazi.
Ukarabati wa MV Victoria (sasa New MV Victoria Hapa Kazi Tu) ni hatua muhimu sana kwa uchumi wa Nchi yetu, na hasa Kanda ya Ziwa.
Kupingana na ukweli huu ni kujifurahisha tu; ukweli utabaki ukweli, JPM...
CDM IMEKATA TAMAA.
Anasema ya Mwanza yamepita kwa kuwa kauli ya CDM kuomba Maridhiano pasipo mgogoro haikuwa na mashiko. Ilikuwa ni "blackmail and sheer distractions"
AKIWA MAKINI HATASALIA CDM.
Labda asiwe mtu makini; vinginevyo hataweza kundelea kuwa CHADEMA hii inayozama wakati nahodha kag'ang'ania usukani wa jahazi. Muda utaongea.
MARIDHIANO KUHUSU NINI?
CDM wanataka "MARIDHIANO" kuhusu kitu gani?
Mwenyekiti wa CDM aliwahi kutangazia umma wa Watanzania kwamba anayoyahubiri Tundu Lissu katika majukwaa ya kimataifa ndiyo msimamo wa CDM. Mahubiri hayo yanamchafua Rais na hata kuitaka Jumuiya ya Kimataifa kutokuunga mkono...
AKIWA MAKINI HATASALIA CHADEMA
Kwa hali ya CDM ilivyo, na hasa baada ya dalili zote kuashiria kwamba nahodha kag'ang'ania usukani, ni dhahiri CHADEMA ni jahazi linalozama.
Hakuna mtu aliye makini atasalia katika jahazi linalozama.
NI UTOTO KUTOKUSHIRIKI MASUALA MUHIMU YA KITAIFA.
Sherehe za Uhuru ni jambo muhimu la kitaifa. Siyo suala la kichama. Vivyo hivyo shughuli za maendeleo ya Nchi. Unapogomea shughuli muhimu za kitaifa kama hizo unamkomoa nani kama sio utoto?
SPOP PROPHECY OF DOOM.
Acha kuwa mtabiri wa maafa.
Kurejeshwa kwa huruma ya usafiri wa reli ni jambo jema sana. Tumwombe na kumtanguliza Mwenyezi Mungu Aendelee kutupigania ili jambo hili jema lilete nafuu kwa abiria na wasafirishaji mizigo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.