Kuna tetesi kuwa wizi wa kompyuta za Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) Kanda Maalum ya Dar es Salaam umefanywa na mtandao wa watu ambao wamejipanga kupambana na Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Inadaiwa kuwa Mtandao huo umejipanga kuidhoofisha...
Jana tarehe 15/10/2019 Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alifanya Mkutano na Wana Habari kuzungumzia uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika 24/11/2019. Kwa ujumla mkutano wa Mbowe na Wana habari ulikuwa ni kama mfamaji na mtu aliyetaka kufanya upotoshaji wa Makusudi.
nitajibu...
Rais Magufuli
1. Ni kama Mti wenye matunda matamu kati ya miti mingi , lazima utapigwa mawe tu.
2. Ni kama dhahabu, haina budi ipitie kwenye tanuru ka moto ili iitwe dhahabu
3. Ni kama Nabii, kamwe hawezi kukubalika nyumbani
4. Ni kama mpigania uhuru kutoka kwa wakoloni, lazima Wakoloni...
Hivi kuna mtu alikuwa na chuki na Zitto kama Lissu? Yeriko yuko sahihi, nadhani kama ni kweli kuwa LISSU anakwenda ACT basi atakuwa Msaliti namba moja kuliko wote walioondoka CHADEMA wakaitwa Wasaliti
Mnahangaika na Lissu wakati mwenyewe alipo anafurahia tukio hilo kwa sababu imemfanya ale bata majuu. Binafsi naona kama kulikuwa na mpango waneutengeneza wenyewe, nina wasiwasi hata zile risasi hazikuwa risasi bali mayai visa.
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama mwanadamu anayo mapungufu na hivyo ni haki kwa mtu ye yote kutofautiana na misimamo au mitazamo yake. Lakini si haki hata kidogo kumtusi, kumtweza, na hata kumdhalilisha kwa namna ye yote ile.
Ukifanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.