Recent content by Ejolisi

  1. Ejolisi

    Wanaume, kumfanyia hivi mwanamke wako haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kubwa sana kwake

    Tufanye hivi njoo unioe kama hujaoa unifanyie hayo unayoyaandika hapo
  2. Ejolisi

    Kwanini polisi wanaingilia misuguano ya kisiasa kila wakati nini maana ya kuwa na vyama vingi?

    Kuna mmoja wao nilikuwa naongea naye ananishauri eti nchi hii usiingilie chochote ambacho hakina maslahi kwako wanafundishwa ubinafsi sana
  3. Ejolisi

    Kwanini polisi wanaingilia misuguano ya kisiasa kila wakati nini maana ya kuwa na vyama vingi?

    Misuguano kidogo tu polisi washatoa barua. Hii nchi ina mfumo wa vyama vingi na ni kawaida kushindana kisiasa. Uchaguzi wa serikali za mitaa mnaandika barua za nini? Mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa ila kama mtanzania naona watu wanastahili kuwa na uhuru wa majadiliano na...
  4. Ejolisi

    Demokrasia inayoongelewa nchi hiyo labda ipewe jina lingine

    Kwa drama zinazoendelea kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa zinaonesha kwa jinsi gani tuna matatizo. Ka uchaguzi haka kadogo drama za kijinga zinainuka ambazo hazina maana. Demokrasia nchi hii ime base kwenye kuhamasisha watu kupiga tu "kupiga kura ni haki yako" Watu wengi hawana...
  5. Ejolisi

    Climate adaptation event empowers youth to drive change

    😂 Ivo ivo saa tutafanyaje
  6. Ejolisi

    Climate adaptation event empowers youth to drive change

    On Saturday, October 12, 2024, the “Youth Climate Adaptation Lighthouse Event” was held at Dar es Salaam hosted by Climate Hub Tanzania in collaboration with the Global Centre on Adaptation (GCA), Green Health and the Green Africa Youth Organization (GAYO). The event aimed to harness the...
  7. Ejolisi

    Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

    Mimi sisemi mtu yeyote ata saiv ukiniambia wewe ni malaika mabawa yako umeyatunza mahali sina shida mm😂
  8. Ejolisi

    Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

    Na usiwe Haina shida lakini wasinyooshe wengine vidole kwa ubaya kama dini yao ndio takatifu wakae nayo watulie
  9. Ejolisi

    Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

    Mm ni mpagani lakini ngoja nikujibu tu na haimaanishi siijui biblia nshaisoma sana nimechoka Kwaiyo ndo mnafundishana kujiona bora na kuona wengine mashetani tena mnawanyooshea vidole kabisa mnasaligi nn huo upendo gani. Kwaiyo kusali jumamosi ndo inawafanya nyie mjione maserafi na makerubi...
Back
Top Bottom