Recent content by ejk

  1. ejk

    Second round TCU inatoka

    Duuuh poa banaa we una akili acha machokoraa tusubir
  2. ejk

    Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

    Simba stand up ouyooooooh ouyooooooooh Simba 2-1 yanga
  3. ejk

    Second round post

    Mimi jana nimewapigia tcu wamesema majibu yanatoka kuanzia juma tatu ya wiki ijayo
  4. ejk

    Second selection

    Next week zinatoka kijana tuwe na subira
  5. ejk

    Second round post

    Majibu yanatolewa na TCU kwanza kaka,afu badae ndo vyuo vinatoa majina
  6. ejk

    Second round post

    Tuwe na subiraa tu jaman kuanzia mwanzoni mwa wiki ijayo maana kwamba juma tatu au jumanne na kuendelea
  7. ejk

    Wildlife Management-College of African Wildlife Management-Mweka

    Jaman msaada kuhusu hii cozi inayotolewa pale mweka...kuhusu suala la masomo,kujiajiti na soko la ajira kwa mtu atakaye maliza masomo....
  8. ejk

    Walioomba kusoma elimu ya juu Tanzania kupitia TCU(undergraduates 2016)

    Kwani hayo magroup ya WhatsApp ndipo TCU wanafanyia udahili acheni kujipotoshaa na kupatiana pressure Tukae kimya kila ki2 kinawekwa kwenye website ya tcu
  9. ejk

    Kwa wale mnaotarajia kuingia chuo mwaka huu zingatia haya mambo kabla ya kuapply

    Rudia rudia itakubal baadae cz na mm pia jana ilitokea hivo bt mwisho wa cku ikakubal
  10. ejk

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Washaanza ku apply kak na nackia mwisho trh 5
  11. ejk

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Kijana kapata Chemistry-D...Biology-D...na geography-C vipi wnaa jamii anaweza somea pharmacy,medicine kwa vyuo vya binafsi kama bugando,kcmc,kampala,archbishop james songea
Back
Top Bottom